Wanajeshi kadhaa wa Marekani wamejeruhiwa baada ya kushambuliwa na bomu nchini Iraq

Imaaam Hussein alikua na farasi mzuri sana wallah vile 🤣
 
Insha Allah
 
Hujui ata unaongea nini pole sanaaa tena sanaaaaa
 
We shia nyie ndo munoharibu Uislamu kwanza mashia sio waislamu mna hamumkubali Muhammad kma mtume na quran pia hamuikubali ww ni kafiri tu kma wengine
Usihangaike nae huyo The Mongolian Savage ninamjua fika ni Duplicate ya Maghayo The Mongo Barbarian, niliwahi weka Uzi wa kufichua ukweli huu kukiwa na ushahidi wa wazi mods wakaufyeka hao ni Nyani mmoja ila msitu tofauti.

Hilo jamaa sio Mshia ni muabudu Yesu sasa kaamua autumie tiketi ya kujifanya Mshia kushambulia uislamu, huyo ni mtu wa kupuuzwa anatumia vibaya bange zake.

Cc : Kinyungu Code 255 makaveli10
 
Wapi imesemwa wameuwawa au lugha ndio shida.
 
Si umewekewa pale chini CNN!?
Au kusoma hujui?
Ameedit baada ya mimi kumuuliza. Don't conclude kabla ya hata wewe kudadis kwanza na kujijibu kwamba huyu mtu mpaka ameomba source ya taarifa ilikuwaje? Meaning habari haikuwa imekamilika. Usirudie tena itajidhihirisha nawe ni wale wale tu
 
Ameedit baada ya mimi kumuuliza. Don't conclude kabla ya hata wewe kudadis kwanza na kujijibu kwamba huyu mtu mpaka ameomba source ya taarifa ilikuwaje? Meaning habari haikuwa imekamilika. Usirudie tena itajidhihirisha nawe ni wale wale tu
Sasa mimi ningejuaje kama ame edit mkuu?
Mie nimeingia nikakuta paap source imewekwa nakuta mwamba unalalamika huoni chanzo nikaona hee huyu mwamba vipi ama macho yake yanachagua kusoma!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…