Hizo nguruwe zimefyekwa ila zinaficha fichaHabari hii hapa ABC news.
Inasema kuna majeruhi 7 wa jeshi na raia.Ila vifo bado havijaonekana.
Ni shambulio la roketi jepesiView attachment 3062680View attachment 3062681View attachment 3062683 hivyo madhara sio makubwa.
Kuna video nime rekodi na kuileta ikionesha madhara ya shambulizi.Hizo nguruwe zimefyekwa ila zinaficha ficha
Hizo nguruwe zikifyekwa hua nasikia burdaaaan
Taifa teule zile ayan domo si wazitupe tu maana hazina msaada wowote ule kwakweliKimewaka tenaaa hizbollah wamelipua na inasemekana askari 17 wa IDF wamefariki kwa shambulizi la jana na la sasa hivi.
Kuna milipuko imetokea barabarani kwa shambulizi la drone na kuna milipuko katika kambi za jeshi za Israel.
Na Israel wanasema walifanikiwa kudungua drone moja tu.
View attachment 3063134
Nimeshindwa ku Upload video nzima ila daah.Taifa teule zile ayan domo si wazitupe tu maana hazina msaada wowote ule kwakweli
Washawatangazia watu wa galileo sijui ndio gali kesho wahame ama wakae chini
Israhell bure kabisa six day kushinda war wanadhani game ile hehehe
Ngoja watetezi wawateule waje watie neno
Hii nimeionaNimeshindwa ku Upload video nzima ila daah.
Kuna moja fly over mji wa Acre imetifuliwa katikati.
Na wenyewe wamekiri wameweza kuzuia drone moja tu.
Leo yamefanyika mashambulizi matatu kwa mpigo.Kipindi hiki watakua bize sana kuzika bado iran anafanya warm-up
Wamekimbilia kwenye mahandaki siku wakitoka huko chini juu watakuta vumbi tuLeo yamefanyika mashambulizi matatu kwa mpigo.
Na inaonesha iron dome ilifeli ku detect drones ikafanikiwa dakika za mwisho kudungua drone moja.
Nime upload video hapo inasema atleast one drone was intercepted.
Dawa ya mtu kama huyu ni kum ignoreUsihangaike nae huyo The Mongolian Savage ninamjua fika ni Duplicate ya Maghayo The Mongo Barbarian, niliwahi weka Uzi wa kufichua ukweli huu kukiwa na ushahidi wa wazi mods wakaufyeka hao ni Nyani mmoja ila msitu tofauti.
Hilo jamaa sio Mshia ni muabudu Yesu sasa kaamua autumie tiketi ya kujifanya Mshia kushambulia uislamu, huyo ni mtu wa kupuuzwa anatumia vibaya bange zake.
Cc : Kinyungu Code 255 makaveli10
Na Hizbollah wamesema wanaandaa pigo kubwa kulipiza raia watano waliouawa.Wamekimbilia kwenye mahandaki siku wakitoka huko chini juu watakuta vumbi tu
Haha bhasi kama ndio hivyo itabidi mods waanzishe utaratibu wa mtu akikosea na kurekebisha zile comments zote zinazomtaka arekebishe ziwe zinafutwa kitu ambacho ni sawa na kuwapa majukumu mapya sasaππSasa mimi ningejuaje kama ame edit mkuu?
Mie nimeingia nikakuta paap source imewekwa nakuta mwamba unalalamika huoni chanzo nikaona hee huyu mwamba vipi ama macho yake yanachagua kusoma!?
ππππππππHaha bhasi kama ndio hivyo itabidi mods waanzishe utaratibu wa mtu akikosea na kurekebisha zile comments zote zinazomtaka arekebishe ziwe zinafutwa kitu ambacho ni sawa na kuwapa majukumu mapya sasaππ
Unadhani hivyo vyuma ni vya Nani!? Huyo ni Irani anatumia hayo makundi... Hataki kwenda moja kwa moja kuhofia kuchangiwa maana anajua anatafutwa na magharibi. So ni hit and runKipindi hiki watakua bize sana kuzika bado Iran anafanya warm-up hajaanza kurusha vyuma
Ichokozeni Marekani mkianza kupigwa msianze kutulilia lia waislamu wanauawaUmmah wa uislamu imefikia wakati wote kwa pamoja tuondoe tofauti, chuki na itikadi zetu na kuziweka pembeni tumkabidhi maisha yetu yote kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein ili tushinde.
Yani ushindi hupo waziwazi kweuupe kwasababu ya Tawfiq mwamba aliyoipigania tumemiminiwa kila siku .
Mwamba alikan nafsi na maisha yake kuupigania, kuutetea na kuulinda uislamu. Leo tunajivunia kuwa na uhakika wa Janah na Firdaus.
Tukiungana na kumtegemea Imaam tutashinda.
Allah aendelee kumfanyia wepes na kumpa qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein ibn Ali A.S.
View attachment 3062631
Tayana-wog Code 255 Malaria 2