Wanajeshi wa israel wafurahia ushindi wa Donald Trump, wana uhakika wa kupata support ya nguvu kuzidi awamu ya Biden

Wanajeshi wa israel wafurahia ushindi wa Donald Trump, wana uhakika wa kupata support ya nguvu kuzidi awamu ya Biden

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Mods polen kwa kazi, Please msimove post


Kwanini wanajeshi wanashangilia Trump kushinda ?

Kwa ufupi ni kwamba Besti yao karudi

Trump aliifanya Iran ifulie, Vikwazo vya kuwazuia Iran vilisimamiwa ukucha, Iran imeanza kupata pesa baada ya Biden kuingia madarakani

Trump alitambua Jerusallem kuwa mji mkuu wa Israel 2018

Trump aliisaidia Israel silaha nyingi sana hata walipokuwa kwenye amani

Israel iliongeza eneo la Gollan heights baada ya Trump kutambua sehemu husika ni ya Israel

Soma Pia: Donald Trump ashinda Urais wa Marekani kwa 51.05% dhidi ya Harris Kamala aliyepata 47.46%

Kwanini wanafurahia Harris Kushidwa ?


Awamu ya Biden imewaruhusu Iran kuuza mapipa milioni 1 kila siku kwa China,

Biden aliwapa Iran Dola bilioni 6 (Shilingi trilioni 16), Inaaminika pesa hizo Iran ilizituma kwa Hamas na Hezbollah kuishambulia Israel kwasababu malipo yalifanywa tarehe 11 mwez wa 9 vita ikaanza tarehe 7 mwezi wa 10

Awamu ya Biden walivujisha siri za Israel kuishambulia Iran

Jesh la Israel mara kadhaa kulalamikia Marekani kuchelewesha silaha kwa maksudi

Biden kuitishia Israel kuipunguzia Silaha

Biden na Harris waliwapa sapoti waandamaji kupeperusha bendera za Hamas na hezbollah, Kufunga barabara, Kuweka kambi vyuoni, n.k.

Netanyahu alihutubia bunge la Marekani lakini Biden na Harris hawakuudhuria licha ya wabinge wengi wa chama chao kwenda
 
Wanashangilia kurudi nyumbani na vita kuisha, trump hatoi hela za marekani kiboya
 

Attachments

  • Screenshot_2024-11-04-16-16-07-462.jpg
    Screenshot_2024-11-04-16-16-07-462.jpg
    467.2 KB · Views: 8
  • IMG_20241106_140150_731.jpg
    IMG_20241106_140150_731.jpg
    163.4 KB · Views: 7
Wanashangilia kurudi nyumbani na vita kuisha, trump hatoi hela za marekani kiboya
Trump hajawah kujivunga kuonesha mapenzi yake kwa Israel

Alfika mbali zaidi kulitambua eneo la Gollan heights kuwa chini ya Israel na Jerusalem kuwa mji mkuu wa Israel

Ni zaidi ya pesa anachoweza kufanya kwajili ya Israel


 
Hao wameambiwa na nyau wafanye vile Trump atafanya nini zaidi ya alicho fanya Biden. Israel huwa hawana shukrani hawa wamesaidiwa na Biden hakuna Rais wa America atawapa silaha kama yule kibabu mwehu. Trump ni rogi tu sa ndio watamjua sababu ana mda wa miaka mitano basi sidhani kama atamuweka yule mme wa Ivanka ile position ya mwanzo tena. Narudia hakuna Rais wa America kawasaidia Israel kama huyo Biden. Israel hata asaidiwe vipi hawezi shinda vita.
 
Mods polen kwa kazi, Please msimove post


Kwanini wanajeshi wanashangilia Trump kushinda ?

Kwa ufupi ni kwamba Besti yao karudi

Trump aliifanya Iran ifulie, Vikwazo vya kuwazuia Iran vilisimamiwa ukucha, Iran imeanza kupata pesa baada ya Biden kuingia madarakani walipata jeuri ya kumdharau na kuanza kuuza mafuta, wanauza mapipa milioni 1 kila siku, Pesa hizo zimewapa jeuri kubwa sana kuanzisha vita na Israel

Trump alitambua Jerusallem kuwa mji mkuu wa Israel 2018

Trump aliisaidia Israel silaha nyingi sana hata walipokuwa kwenye amani

Israel iliongeza eneo la Gollan heights baada ya Trump kutambua sehemu husika ni ya Israel

Soma Pia: Donald Trump ashinda Urais wa Marekani kwa 51.05% dhidi ya Harris Kamala aliyepata 47.46%

Kwanini wanafurahia Harris Kushidwa ?


Awamu ya Biden walivujisha siri za Israel kuishambulia Iran

Netanyahu mara kadhaa kalalamikia Marekani kuchelewesha silaha

Biden na Harris waliwapa sapoti waandamaji kupeperusha bendera za Hamas na hezbollah, Kufunga barabara, Kuweka kambi vyuoni, n.k.

Netanyahu alihutubia bunge la Marekani lakini Biden na Harris hawakuudhuria licha ya wabinge wengi wa chama chao kwenda
We wacha kujidangan'ya wakati wa Trump Iran ndio aliuza mafuta na kutengeneza pesa na silaha hizo zote karibu 55%. Msidangan'ywe Iran hakuna vikwazo vinaweza kumdhuru hio Dubai wanauza mafuta pale kama kawaida na jirani zake wote wa Iran ni watu wa maslaha we baki na mawazo yako.
 
Hao wameambiwa na nyau wafanye vile Trump atafanya nini zaidi ya alicho fanya Biden. Israel huwa hawana shukrani hawa wamesaidiwa na Biden hakuna Rais wa America atawapa silaha kama yule kibabu mwehu. Trump ni rogi tu sa ndio watamjua sababu ana mda wa miaka mitano basi sidhani kama atamuweka yule mme wa Ivanka ile position ya mwanzo tena. Narudia hakuna Rais wa America kawasaidia Israel kama huyo Biden. Israel hata asaidiwe vipi hawezi shinda vita.
iran ndie mzizi, Trump aliwabana mbavu iran hawakuwa na pesa wala jeuri ya kuingia vitani na Israel kama awamu ya Biden,

Biden mnafki, hakuhudhuria kikao cha Netanyahu bungeni, Jeshi la Israel limelalamika mara nyingi kucheleweshewa silaha, Kamala kuwanyenyekea waandamaji wa Hamas na Hezbolaah kufunga barabara, kuweka kamb vyuoni, n.k.
 
Biden alikuwa anajita Zionist kabisa na alisema kama hakuna taifa la Israel angetengeneza Taifa hilo 😄 Leo eti wamefurahi kuona Trump karudi wambie watupe details za msada wa Trump na msada Biden wa silaha tuone nani kawapa silaha nyingi na pesa.
Wazayuni wa jf hawajitambui sina data kamili ila sidhanii kama kuna rais kawapa msaada mwingi israhell kama mwendazake ila hana alichofanya zaidi ya kuvunja majengo tuuu
 
Hao wameambiwa na nyau wafanye vile Trump atafanya nini zaidi ya alicho fanya Biden. Israel huwa hawana shukrani hawa wamesaidiwa na Biden hakuna Rais wa America atawapa silaha kama yule kibabu mwehu. Trump ni rogi tu sa ndio watamjua sababu ana mda wa miaka mitano basi sidhani kama atamuweka yule mme wa Ivanka ile position ya mwanzo tena. Narudia hakuna Rais wa America kawasaidia Israel kama huyo Biden. Israel hata asaidiwe vipi hawezi shinda vita.
Subiri ndio mtajua hamjui, Republicans walikuwa wanatafuta hii nafasi huku mate yakowadondoka, nawaonea huruma kobazi wenzako
 
Trump hajawah kujivunga kuonesha mapenzi yake kwa Israel

Alfika mbali zaidi kulitambua eneo la Gollan heights kuwa chini ya Israel na Jerusalem kuwa mji mkuu wa Israel

Ni zaidi ya pesa anachoweza kufanya kwajili ya Israel


View attachment 3145549
Hapo alijua atawahitaji kugombea muhula wa pili,wayahudi wapo USA wanna ushawishi kwenye uchaguzi jumlisha christian nationalism movement inayoamini uteule wa israel na urejeo wa masihi kwa ajili ya unyakuo,kishapata atakacho na hatogombea tena,subiri uone
 
iran ndie mzizi, Trump aliwabana mbavu iran hawakuwa na pesa wala jeuri ya kuingia vitani na Israel kama awamu ya Biden,

Biden mnafki, hakuhudhuria kikao cha Netanyahu bungeni, Jeshi la Israel limelalamika mara nyingi kucheleweshewa silaha, Kamala kuwanyenyekea waandamaji wa Hamas na Hezbolaah kufunga barabara, kuweka kamb vyuoni, n.k.
Maneno ya kujifariji na kukata tamaa tuseme kweli alikua anacheleweshewa msaada bado alikua na msaada mwingi kuliko wanao upata kina hamas katika tawala zilizo pita huko nyuma ikiwemo ya trumpet ndio imefanya Iran kuimarisha proxy zake mnaongea kwa kukurupuka
 
We wacha kujidangan'ya wakati wa Trump Iran ndio aliuza mafuta na kutengeneza pesa na silaha hizo zote karibu 55%. Msidangan'ywe Iran hakuna vikwazo vinaweza kumdhuru hio Dubai wanauza mafuta pale kama kawaida na jirani zake wote wa Iran ni watu wa maslaha we baki na mawazo yako.
Mnunuzi mkubwa wa mafuta ya Iran ni China, kipindi cha Trump China hawakununua mafuta ya Iran,

Vyuma vlikaza sana kiasi kwamba walijaribu kutuma meli nne Venezuela, zilipofika zilikamatwa na jeshi la Marekani

Hii Ndio sababu iliyowafany Iran wasiwe na jeuri ya kuanzisha vita na Israel kama waliyofanya baada ya Biden kuingia

 
Maneno ya kujifariji na kukata tamaa tuseme kweli alikua anacheleweshewa msaada bado alikua na msaada mwingi kuliko wanao upata kina hamas katika tawala zilizo pita huko nyuma ikiwemo ya trumpet ndio imefanya Iran kuimarisha proxy zake mnaongea kwa kukurupuka
Iran ya awamu ya Trump ilibanwa mbavu kiuchumi,

Awamu ya Biden wanawauzia China pipa milioni 1 kila siku, Biden aakwaongezea Trilioni 16
 
Ila ww jamaa ni ndina sana yaani unavyo msema Trump utadhani labda hajawahi kuingia ikulu.

Kipindi cha Trump si ndo kipindi ambacho Iran alizipiga kambi za kijeshi za Marekani kwa makombora?

Si ndo kipindi ambacho Iran ilizidungua dronee zaidi ya 2 za gharama?

Ebu tuoneshe data za huuzaji wa mafuta wa Iran kipindi cha Trump ili tuone iwapo Iran alikuwa hauzi mafuta.
Asilimia 80 ya mafuta ya Iran yananunuliwa na China , India ,na Uturuki kwahiyo unategemea Trump akiingia madarakani atakuwa na ubavu wa kuzikataza nchi hizo zisiziyanunue?
 
We wacha kujidangan'ya wakati wa Trump Iran ndio aliuza mafuta na kutengeneza pesa na silaha hizo zote karibu 55%. Msidangan'ywe Iran hakuna vikwazo vinaweza kumdhuru hio Dubai wanauza mafuta pale kama kawaida na jirani zake wote wa Iran ni watu wa maslaha we baki na mawazo yako.
Wewe acha uongo, Iran kila siku analia aondolewe vikwazo na uchumi wake kwa muda mrefu uko taabani.
1 USD = 42,000 Irani Rial. Sasa bado mnasema Iran haumii na vikwazo, ni ushabiki maandazi huo.
 
Wewe acha uongo, Iran kila siku analia aondolewe vikwazo na uchumi wake kwa muda mrefu uko taabani.
1 USD = 42,000 Irani Rial. Sasa bado mnasema Iran haumii na vikwazo, ni ushabiki maandazi huo.
Kwa hio Kuwait Dinar 3.26 US$ Sa kuwait ana mzidi utajiri US 😄 Kila siku nakuambia acha kutengenrza majina mengi humu hayata kusaidia unaumiza mgongo na macho yako tu.
 
Mnunuzi mkubwa wa mafuta ya Iran ni China, kipindi cha Trump China hawakununua mafuta ya Iran,

Vyuma vlikaza sana kiasi kwamba walijaribu kutuma meli nne Venezuela, zilipofika zilikamatwa na jeshi la Marekani

Hii Ndio sababu iliyowafany Iran wasiwe na jeuri ya kuanzisha vita na Israel kama waliyofanya baada ya Biden kuingia

Iran alimtandika US na Trump wala hakujibu kitu pia kingine Trump aliruhusu China, India, Turkey na etc wanunue oil ya Iran hizo ni kelele tu, iran lifanya bussiness kawaida tu.

 
Back
Top Bottom