Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuump aliwahi kunena kuwa, kwa ule unyama walioufanya Hamas dhidi ya Israel, kama yeye Yrump angekuwa mkuu wa nchi ya Israel, angefanya zaidi ya Netanyahu, na kwamba Israel inafanya makosa kuonesha picha jinsi wanavyoiteketeza Gaza, hali inayosababisha kelele za Dunia.Mods polen kwa kazi, Please msimove post
Kwanini wanajeshi wanashangilia Trump kushinda ?
Kwa ufupi ni kwamba Besti yao karudi
Trump aliifanya Iran ifulie, Vikwazo vya kuwazuia Iran vilisimamiwa ukucha, Iran imeanza kupata pesa baada ya Biden kuingia madarakani
Trump alitambua Jerusallem kuwa mji mkuu wa Israel 2018
Trump aliisaidia Israel silaha nyingi sana hata walipokuwa kwenye amani
Israel iliongeza eneo la Gollan heights baada ya Trump kutambua sehemu husika ni ya Israel
Soma Pia: Donald Trump ashinda Urais wa Marekani kwa 51.05% dhidi ya Harris Kamala aliyepata 47.46%
Kwanini wanafurahia Harris Kushidwa ?
Awamu ya Biden imewaruhusu Iran kuuza mapipa milioni 1 kila siku kwa China,
Biden aliwapa Iran Dola bilioni 6 (Shilingi trilioni 16), Inaaminika pesa hizo Iran ilizituma kwa Hamas na Hezbollah kuishambulia Israel kwasababu malipo yalifanywa tarehe 11 mwez wa 9 vita ikaanza tarehe 7 mwezi wa 10
Awamu ya Biden walivujisha siri za Israel kuishambulia Iran
Jesh la Israel mara kadhaa kulalamikia Marekani kuchelewesha silaha kwa maksudi
Biden kuitishia Israel kuipunguzia Silaha
Biden na Harris waliwapa sapoti waandamaji kupeperusha bendera za Hamas na hezbollah, Kufunga barabara, Kuweka kambi vyuoni, n.k.
Netanyahu alihutubia bunge la Marekani lakini Biden na Harris hawakuudhuria licha ya wabinge wengi wa chama chao kwenda
Unamfahamu vizuri Trump kuhusu Israel? Miaka yote makao makuu ya Israel yalikua mji wa Tel Aviv, mabalozi wa nchi zote including USA walikua Tel Aviv, huyu jamaa chini ya utawala wake, alilazimisha Israel iutambue mji wa Jerusalem kua ndio makao makuu yake, hata balozi wa Marekani pale Israel alihamishiwa mji wa Jerusalem ASAP. Now, jumuia ya kiarabu, or call jumuia za kiislam duniani hazinaga shida na mji wa Tel Aviv, kuweka capital city ya Israel kwenda Jerusalem, hilo ni tatizo kubwa mno, ndipo ulipo msikiti ambao Waislamu wameaminishwa kua nabii Suleman aliujenga, Israel nao wana ndoto ya kuubomoa na kujenga hekalu lao ambao nao wana amini ndio hekalu la kwanza kujengwa tokea wamekua taifa kwa mara ya kwanza almost miaka 750 BC, hapo ndipo ilipo confusion kubwa between hizi dini 3, Judaism, Christianity and Islamic. Trump ana msimamo mkali sana kuhusu Israel, JerusalemWanashangilia kurudi nyumbani na vita kuisha, trump hatoi hela za marekani kiboya
Vita alizo shinda za hao viongozi wanao mlinda. HAJAWAHI mshinda Hezbullah au Hamasi.Vita ngapi kashinda dhidi ya Waarabu?! Labda ujirushe ufahamu ndio utapingq hilo.
Umesema Israel hawezi shinda vita nimekwambia ameshinda vita kadhaa dhidi ya Mataifa ya Waarabu na sasa umegeuza kuwa ni Magaidi ya Hamas na Hezbola.Vita alizo shinda za hao viongozi wanao mlinda. HAJAWAHI mshinda Hezbullah au Hamasi.
Biden alikuwa anajita Zionist kabisa na alisema kama hakuna taifa la Israel angetengeneza Taifa hilo 😄 Leo eti wamefurahi kuona Trump karudi wambie watupe details za msada wa Trump na msada Biden wa silaha tuone nani kawapa silaha nyingi na pesa.
Vita alizo shinda za hao viongozi wanao mlinda. HAJAWAHI mshinda Hezbullah au Hamasi.
Israel alipigana lini vita na Yemen akashinda, Israel alipigana na nchi ngapi za kiarabu ? Vita vyote Israel alivyo pigana na warabu ni nchi labda mbili au tatu, alikuwa anasaidiwa na hao hao anaopigana nao wa kwanza King Hussein alikuwa anawapa infomation Israel kabla ya kuanza hata mashambulizi. Kuhusu Hamas na Hezbullah vipi ni magaidi? Hizo ni akili zako za mirembe ndio unasema magaidi hao ni Resistance Movement kwenye nchi zao we baki na ujinga wako. Hezbullah alimfundisha lesson Israel mwaka 1982 kule Lebanon mpaa akakimbia. Mwaka 2006 Israel hakufanikiwa lolote zaidi ya kuvunja majumba hakuweza kupata kilicho mpeleka Lebanon kukomboa askari zake wawili. Hii vita ya sasa alienda kwa target 3 kuwarudisha wananchi zake North kashindwa, pia kuwaondoa Hezbullah warudi nyuma ya mto Letani kashindwa, na kuwazuia Hezbullah wasiwape support Hamas na kuzivunja silaha za Hezbullah kashindwa. Exactly 💯 kama kwa Yemen pia kashindwa yeye na baba yake USA na mjomba wake UK, Yemen bado haruhusi meli kwenda Israel. Kama vile 💯 vita na Hamas kaenda kwa ajili ya kukomboa matekwa wao kwa nguvu kashindwa., kuivunja Hamas kashindwa, na kuwaondoa kabisa Hamas Gaza kashindwa 😄Umesema Israel hawezi shinda vita nimekwambia ameshinda vita kadhaa dhidi ya Mataifa ya Waarabu na sasa umegeuza kuwa ni Magaidi ya Hamas na Hezbola.
Kumbuka ustazi kushinda Magaidi huwa inachukua muda kidogo kwasababu Magaidi huwa wanajificha nyuma ya Raia na ndio maana Raia wengi huko Gaza na Lebanon wameuwawa.
Hio ilikuwa ni 1st term sa hiNani aliitambua Jerusalem kama makao makuu ya Israel?
Kumbe we umelala hujui lolote katazame history ya vita vya Lebanon nani aliye mtoa Israel Lebanon mwaka 1982. Pia vita vya Israel katazame reason ya vita ilikuwa ni nini 😄 Tulisha wambia Israel hawezi vita zaidi ya kuvunja majumba na kufanya genocide, ndio mana hashindi vita, sio kwa Hezbullah au kwa Hamas. Kuhusu Hamas we unajua sababu gani Israel aliondoka Gaza? Israel hajui lugha ila lugha ya kichapo, kama unategemea Israel atakupa sehemu aliye ikalia kwanguvu kwa njia ya mazungumzo hio ni ndoto.Hezbollah na Hamas vita vyao wameshindia wapi? Lebanon na Palestina?
Au sehemu nyingine?
Kwa bandiko lako hili inabidi muache kukariri kuwa Israeli ni taifa teule linalindwa na mungu na mfahamu Israeli bila kusaidiwa na mMods polen kwa kazi, Please msimove post
Kwanini wanajeshi wanashangilia Trump kushinda ?
Kwa ufupi ni kwamba Besti yao karudi
Trump aliifanya Iran ifulie, Vikwazo vya kuwazuia Iran vilisimamiwa ukucha, Iran imeanza kupata pesa baada ya Biden kuingia madarakani
Trump alitambua Jerusallem kuwa mji mkuu wa Israel 2018
Trump aliisaidia Israel silaha nyingi sana hata walipokuwa kwenye amani
Israel iliongeza eneo la Gollan heights baada ya Trump kutambua sehemu husika ni ya Israel
Soma Pia: Donald Trump ashinda Urais wa Marekani kwa 51.05% dhidi ya Harris Kamala aliyepata 47.46%
Kwanini wanafurahia Harris Kushidwa ?
Awamu ya Biden imewaruhusu Iran kuuza mapipa milioni 1 kila siku kwa China,
Biden aliwapa Iran Dola bilioni 6 (Shilingi trilioni 16), Inaaminika pesa hizo Iran ilizituma kwa Hamas na Hezbollah kuishambulia Israel kwasababu malipo yalifanywa tarehe 11 mwez wa 9 vita ikaanza tarehe 7 mwezi wa 10
Awamu ya Biden walivujisha siri za Israel kuishambulia Iran
Jesh la Israel mara kadhaa kulalamikia Marekani kuchelewesha silaha kwa maksudi
Biden kuitishia Israel kuipunguzia Silaha
Biden na Harris waliwapa sapoti waandamaji kupeperusha bendera za Hamas na hezbollah, Kufunga barabara, Kuweka kambi vyuoni, n.k.
Netanyahu alihutubia bunge la Marekani lakini Biden na Harris hawakuudhuria licha ya wabinge wengi wa chama chao kwenda
Hicho ndicho wafuasi wa Paulo hawakijuu Trump ana bussiness nchi za kiarabu kuliko Israel awache bussiness yake idhurike sababu ya wajinga wale wasio kuwa na shukrani. Kwani Trump hawajui Israel wanafiki wacha wasubiri kama Trump atawasaidia kama Biden safari hio sio ajabu safari hi hata kusema Jerusalem ni capita city ya Israel atasema alikosea😄Hapo alijua atawahitaji kugombea muhula wa pili,wayahudi wapo USA wanna ushawishi kwenye uchaguzi jumlisha christian nationalism movement inayoamini uteule wa israel na urejeo wa masihi kwa ajili ya unyakuo,kishapata atakacho na hatogombea tena,subiri uone
Hio ilikuwa ni 1st term sa hi
2nd term mtamjua Trump ukweli wake, Israel atamkumbuka Biden. Jerusalem itabaki vile vile mji Mkuu wa Palestine sio Trump wala nani atakaye weza badilisha ukweli. Nyau yuko Jerusalem au Tela Aviv? Vichaa kweli nyie.
Kumbe we umelala hujui lolote katazame history ya vita vya Lebanon nani aliye mtoa Israel Lebanon mwaka 1982. Pia vita vya Israel katazame reason ya vita ilikuwa ni nini 😄 Tulisha wambia Israel hawezi vita zaidi ya kuvunja majumba na kufanya genocide, ndio mana hashindi vita, sio kwa Hezbullah au kwa Hamas. Kuhusu Hamas we unajua sababu gani Israel aliondoka Gaza? Israel hajui lugha ila lugha ya kichapo, kama unategemea Israel atakupa sehemu aliye ikalia kwanguvu kwa njia ya mazungumzo hio ni ndoto.
Kwa mara ya kwanza nakubaliana na wewe sisi Waislam ndugu yako usimtegemee kukusaidia weka kwa Allah tu. Ajabu Israel anategemea kwa Trump 😄 kule Hezbullah wanamtembezea kichapo tu, kiongozi wao msikie alicho semaUsiweke matumaini makubwa sana kwa binadamu wenzako. Sio kila king'aacho ni dhahabu.
Naangalia ya dunia yanavyokatisha tamaa. Sioni lolote la ajabu kutoka kwa Trump. Alitaka madaraka. Ameyapata.
Labda pekee kitabadilika ni mambo ya ushoga na kutoa mimba, ambayo Democrats waliyashadadia sana
Mods polen kwa kazi, Please msimove post
Kwanini wanajeshi wanashangilia Trump kushinda ?
Kwa ufupi ni kwamba Besti yao karudi
Trump aliifanya Iran ifulie, Vikwazo vya kuwazuia Iran vilisimamiwa ukucha, Iran imeanza kupata pesa baada ya Biden kuingia madarakani
Trump alitambua Jerusallem kuwa mji mkuu wa Israel 2018
Trump aliisaidia Israel silaha nyingi sana hata walipokuwa kwenye amani
Israel iliongeza eneo la Gollan heights baada ya Trump kutambua sehemu husika ni ya Israel
Soma Pia: Donald Trump ashinda Urais wa Marekani kwa 51.05% dhidi ya Harris Kamala aliyepata 47.46%
Kwanini wanafurahia Harris Kushidwa ?
Awamu ya Biden imewaruhusu Iran kuuza mapipa milioni 1 kila siku kwa China,
Biden aliwapa Iran Dola bilioni 6 (Shilingi trilioni 16), Inaaminika pesa hizo Iran ilizituma kwa Hamas na Hezbollah kuishambulia Israel kwasababu malipo yalifanywa tarehe 11 mwez wa 9 vita ikaanza tarehe 7 mwezi wa 10
Awamu ya Biden walivujisha siri za Israel kuishambulia Iran
Jesh la Israel mara kadhaa kulalamikia Marekani kuchelewesha silaha kwa maksudi
Biden kuitishia Israel kuipunguzia Silaha
Biden na Harris waliwapa sapoti waandamaji kupeperusha bendera za Hamas na hezbollah, Kufunga barabara, Kuweka kambi vyuoni, n.k.
Netanyahu alihutubia bunge la Marekani lakini Biden na Harris hawakuudhuria licha ya wabinge wengi wa chama chao kwenda
Mkuu umelipuka naona, furaha ni kwasababu vita inaenda kusimama na wao maisha yao yatakuwa salama kutokana na vifo, wanauliwa ovyo vitani, Trump aliahidi vita kuisha kwenye kampeni na ndio iliyomfanya kushinda uchaguzi mapema - sasa kama propaganda kwenye ubongo wako zinakusumbua akili ni peke yakoMods polen kwa kazi, Please msimove post
Kwanini wanajeshi wanashangilia Trump kushinda ?
Kwa ufupi ni kwamba Besti yao karudi
Trump aliifanya Iran ifulie, Vikwazo vya kuwazuia Iran vilisimamiwa ukucha, Iran imeanza kupata pesa baada ya Biden kuingia madarakani
Trump alitambua Jerusallem kuwa mji mkuu wa Israel 2018
Trump aliisaidia Israel silaha nyingi sana hata walipokuwa kwenye amani
Israel iliongeza eneo la Gollan heights baada ya Trump kutambua sehemu husika ni ya Israel
Soma Pia: Donald Trump ashinda Urais wa Marekani kwa 51.05% dhidi ya Harris Kamala aliyepata 47.46%
Kwanini wanafurahia Harris Kushidwa ?
Awamu ya Biden imewaruhusu Iran kuuza mapipa milioni 1 kila siku kwa China,
Biden aliwapa Iran Dola bilioni 6 (Shilingi trilioni 16), Inaaminika pesa hizo Iran ilizituma kwa Hamas na Hezbollah kuishambulia Israel kwasababu malipo yalifanywa tarehe 11 mwez wa 9 vita ikaanza tarehe 7 mwezi wa 10
Awamu ya Biden walivujisha siri za Israel kuishambulia Iran
Jesh la Israel mara kadhaa kulalamikia Marekani kuchelewesha silaha kwa maksudi
Biden kuitishia Israel kuipunguzia Silaha
Biden na Harris waliwapa sapoti waandamaji kupeperusha bendera za Hamas na hezbollah, Kufunga barabara, Kuweka kambi vyuoni, n.k.
Netanyahu alihutubia bunge la Marekani lakini Biden na Harris hawakuudhuria licha ya wabinge wengi wa chama chao kwenda
Huna facts hili ni porojo toka kichwan kwako tuMods polen kwa kazi, Please msimove post
Kwanini wanajeshi wanashangilia Trump kushinda ?
Kwa ufupi ni kwamba Besti yao karudi
Trump aliifanya Iran ifulie, Vikwazo vya kuwazuia Iran vilisimamiwa ukucha, Iran imeanza kupata pesa baada ya Biden kuingia madarakani
Trump alitambua Jerusallem kuwa mji mkuu wa Israel 2018
Trump aliisaidia Israel silaha nyingi sana hata walipokuwa kwenye amani
Israel iliongeza eneo la Gollan heights baada ya Trump kutambua sehemu husika ni ya Israel
Soma Pia: Donald Trump ashinda Urais wa Marekani kwa 51.05% dhidi ya Harris Kamala aliyepata 47.46%
Kwanini wanafurahia Harris Kushidwa ?
Awamu ya Biden imewaruhusu Iran kuuza mapipa milioni 1 kila siku kwa China,
Biden aliwapa Iran Dola bilioni 6 (Shilingi trilioni 16), Inaaminika pesa hizo Iran ilizituma kwa Hamas na Hezbollah kuishambulia Israel kwasababu malipo yalifanywa tarehe 11 mwez wa 9 vita ikaanza tarehe 7 mwezi wa 10
Awamu ya Biden walivujisha siri za Israel kuishambulia Iran
Jesh la Israel mara kadhaa kulalamikia Marekani kuchelewesha silaha kwa maksudi
Biden kuitishia Israel kuipunguzia Silaha
Biden na Harris waliwapa sapoti waandamaji kupeperusha bendera za Hamas na hezbollah, Kufunga barabara, Kuweka kambi vyuoni, n.k.
Netanyahu alihutubia bunge la Marekani lakini Biden na Harris hawakuudhuria licha ya wabinge wengi wa chama chao kwenda