imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Huwa hamkosi sababu na hamkosi wa kuwalaumu kila mnapochakazwa😆😆😆kwanza King Hussein alikuwa anawapa infomation Israel
Mara eti Jordan mara eti US😆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa hamkosi sababu na hamkosi wa kuwalaumu kila mnapochakazwa😆😆😆kwanza King Hussein alikuwa anawapa infomation Israel
Sawa kila mmoja na views zake we toka lini ulikubali ukweli.Huwa hamkosi sababu na hamkosi wa kuwalaumu kila mnapochakazwa😆😆😆
Mara eti Jordan mara eti US😆
Kwahiyo na safari hii zile Pager na Walkie-talkies kulipuka ni nani alisaidia Israel?!Sawa kila mmoja na views zake we toka lini ulikubali ukweli.
Warabu wa Iraq na Lebanon walio mpa tenders Israel ndio walio msaidia akatia PETN kwenye hizo pager na hizo walkie-talkie.Kwahiyo na safari hii zile Pager na Walkie-talkies kulipuka ni nani alisaidia Israel?!
Si ndio mbinu za vita ninyi bado mnafikiri ni Vita vya Majambia vya enzi za Mohamed?😆😆Warabu wa Iraq na Lebanon walio mpa tenders Israel ndio walio msaidia akatia PETN kwenye hizo pager na hizo walkie-talkie.
Sawa mnao abudu binadamuSi ndio mbinu za vita ninyi bado mnafikiri ni Vita vya Majambia vya enzi za Mohamed?😆😆
Wala uskonde, mimi namuabudu Mungu Ngai.Sawa mnao abudu binadamu
Sawa 1=3Wala uskonde, mimi namuabudu Mungu Ngai.
Vita ipi aloshinda israhell achana na zile za kutunga za six day waaVita ngapi kashinda dhidi ya Waarabu?! Labda ujirushe ufahamu ndio utapingq hilo.
Hata awamu hii atawauzia dunia imebadilika mzee ngoja uone kama dt ataleta jipya sioni akija na suala jipyaIran ya awamu ya Trump ilibanwa mbavu kiuchumi,
Awamu ya Biden wanawauzia China pipa milioni 1 kila siku, Biden aakwaongezea Trilioni 16
Mtaendelea tu kuchakazwa hata Allah kawatosa.Vita ipi aloshinda israhell achana na zile za kutunga za six day waa
Hana jipya labda atumie nyuklia israhell hana maajabu tulioaminishwa na biibiisiiiT
Tuump aliwahi kunena kuwa, kwa ule unyama walioufanya Hamas dhidi ya Israel, kama yeye Yrump angekuwa mkuu wa nchi ya Israel, angefanya zaidi ya Netanyahu, na kwamba Israel inafanya makosa kuonesha picha jinsi wanavyoiteketeza Gaza, hali inayosababisha kelele za Dunia.
Magaidi wa Hamas na Hezbollah, watarajie kibano zaidi wakati huu wa utawala wa Trump maana Trump atahakikisha Israel inakipata wanachokihitaji kwaajili ya kuyaangamiza magaidi.f
Mods polen kwa kazi, Please msimove post
Kwanini wanajeshi wanashangilia Trump kushinda ?
Kwa ufupi ni kwamba Besti yao karudi
Trump aliifanya Iran ifulie, Vikwazo vya kuwazuia Iran vilisimamiwa ukucha, Iran imeanza kupata pesa baada ya Biden kuingia madarakani
Trump alitambua Jerusallem kuwa mji mkuu wa Israel 2018
Trump aliisaidia Israel silaha nyingi sana hata walipokuwa kwenye amani
Israel iliongeza eneo la Gollan heights baada ya Trump kutambua sehemu husika ni ya Israel
Soma Pia: Donald Trump ashinda Urais wa Marekani kwa 51.05% dhidi ya Harris Kamala aliyepata 47.46%
Kwanini wanafurahia Harris Kushidwa ?
Awamu ya Biden imewaruhusu Iran kuuza mapipa milioni 1 kila siku kwa China,
Biden aliwapa Iran Dola bilioni 6 (Shilingi trilioni 16), Inaaminika pesa hizo Iran ilizituma kwa Hamas na Hezbollah kuishambulia Israel kwasababu malipo yalifanywa tarehe 11 mwez wa 9 vita ikaanza tarehe 7 mwezi wa 10
Awamu ya Biden walivujisha siri za Israel kuishambulia Iran
Jesh la Israel mara kadhaa kulalamikia Marekani kuchelewesha silaha kwa maksudi
Biden kuitishia Israel kuipunguzia Silaha
Biden na Harris waliwapa sapoti waandamaji kupeperusha bendera za Hamas na hezbollah, Kufunga barabara, Kuweka kambi vyuoni, n.k.
Netanyahu alihutubia bunge la Marekani lakini Biden na Harris hawakuudhuria licha ya wabinge wengi wa chama chao kwenda
Wazayuni mlijua mnapigana six day war yakutunga eeenhMtaendelea tu kuchakazwa hata Allah kawatosa.
Trump anadhani siku hizi Iran utamtisha nyau, hajui huo wakati umeisha pitwa, watu wanatechnology za kisasa huwezi kumtisha na F35 au B52 au B2Hata awamu hii atawauzia dunia imebadilika mzee ngoja uone kama dt ataleta jipya sioni akija na suala jipya
Six days War ni tukio la kweli Quruani yenu ndio ya kutunga.Wazayuni mlijua mnapigana six day war yakutunga eeenh
'Hata huku Afrika wengi tumefurahia ushindi wa Mtumishi wa Mungu Donald Trump dhidi ya wakala wa Shetwain aliyetaka kuiharibu dunia kwa usagaji ,ufiraji,rushwa ,ukoloni mambo leo , bidhaa feki, madawa feki ,shoga na vita.
Mungu mbariki Mtume wa Mwenyezi Mungu, Donald Trump