Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Wazayuni wameshindwa kulivunja maana kama kusarenda hilo suala sahau wanamapambano kama hamas kwao kusarenda hakunaWarudishe Mateka halafu wasarende na walivunje Grupu hilo la Magaidi la Hamas.
Basi wakiharibu zote unitagZitakuwa hazijaharibiwa zote.
Mahaba MahabaaaSikiliza vizuri Silaha zinazpingia Gazza zinapitia kwenye tunnels na zingine wanatengeneza wenyewe kwa kutumia Construction pipes Vietnam silaha zilikuwa zinapitia Ho chi Minh (uchochoro mkubwa unaoingia hadi kwenye Nchi ya Laos) huo uchochoro umegubikwa na Misitu mizito Silaha zilikuwa zikiingia usiku na mchana.
Gaza kwasasa hakuingii hata Bolti moja usifananishe kabisa Gaza na Vietnam.
Kwa hoja mkuu zipi kwamba hawatashinda?Hakuingii Silaha labda bado wanatumia Stockpile yao walioikusanya ila nikukumbushe tu kuwa hawatashinda hii Vita.
Hebu soma posting zangu kuanzia huko nyuma utaziona Hoja zangu.Kwa hoja mkuu zipi kwamba hawatashinda?
Gaza inaukubwa Kilometres 41 kwa urefu na 6 kwa upana ni sehemu ndogo sana kila Tunnel itafikiwa na kuteketezwa.Basi wakiharibu zote unitag
Ngoja kipigo kiendelee...Wazayuni wameshindwa kulivunja maana kama kusarenda hilo suala sahau wanamapambano kama hamas kwao kusarenda hakuna
Waweza ukawa uko sahihi, lakini ningependa tuangazie kwa hapa nchini kwetu kama hutojaliUkisema hivyo wanaotakiwa kusifika ni wapagani ndio wako vizuri katika masuala ya sayansi na elimu ya secular.
Ukisema kuhusu waislam nitakuletea mchango wa waislam hususan wapersia katika maendeleo ya sayansi na teknolojia ambayo wakristo hawakuyavumbua.
Hapa nchini ndio usiguse kabisa.Waweza ukawa uko sahihi, lakini ningependa tuangazie kwa hapa nchini kwetu kama hutojali
Sawa icho kipigo ni kinyume cha sheria sababu wanauwa watoto wamama wanapiga shule kwao akili za Israel kupiga chochote kwao sawa naww unachekelea lkn niliwai kukwambia hii vita zayuni anaenda shindwa tena kwa aibu nakutabilia ww unaeshangilia mauyaji ya watoto kupigwa seem hosp8tali na mengine na ukemei lkn uko mbele nyinyi mtaanza kuwakemea Hamas !!! Mtadai wanavunja sheria ni swala la muda tu wale mabint wa Kizayuni watu wanaenda kugawana wote nasisi tutwziba masikio ya sheria za kimataifa wale Wayemeni wapo tayali kwa uvamizi wanasubilia tu hezbullah inapiga moyo wa kijesho wa Israel meeneo muimu yote na Iran ile Promis 3 pia itakuwa pigo la mwisho kabla uvamizi nakukumbusha wale mabint watu wanaenda jibebea msije kuja humu kulia lia!!!! mchekeletu kama mnavochekelea sasavi!!!Ngoja kipigo kiendelee...
Acha masiala kabisa yaan washenzi milion 1 waje bongo? Nakwambia kwa fitina zao tutajikuta nusu ya bongo yote wako wao na munawalipa kodiVita mbaya sana wanaokufa na kupata vilema wanajesh ukiona iyo kati ya waziri na wajeda utaona kabisa waziwazi wajeda na waziri sawa na simba na yanga nyuso za wajeda azina bashasha yoyote zimejaa hofu ya kifo au kupoteza viungo vya mwili nasema tena kwa mala ya kwanza ktk historia hii vita Israel inaenda poteza kwa aibu na kushindwa kukubwa sana. Binafsi sina chuki na wazayuni wapo ktk wao watu wazuli sana asa wakiwa nchi zdngine lkn wakiwa kule Israel wanageuka kama wanyama lkn naunga mkono walsrael ata m1 wapate uraia wa tz. Wakiwa tz wanaishi kwa aman mashamba yapo seem za viwanda zipo waje tz hii dunia ni 1 wataish kwa aman TZ lkn waking,ang,ania kile kipande cha ardhi pale walipo kitawatokea puani Mwarabu atokuja kusema nimeshindwa utauwa watu wake lkn akomi kamwe atadili tu plan miaka na miaka lkn lazima ushindwe ww.
naNa wewe unakasirika nini mimi nikiandika habari za kufa hapa JF? Au wewe Muisrael mweusi wa Uloye.
View: https://x.com/warfareanalysis/status/1856778493348188522?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Mkuu wavaa kobazi ni watu wa hovyo na masikini sana hapa Tanzania, kwanza hawana elimu dunia kwani wao wanawaza ahera na mabikra 72 pindi wakifa. Wagunduzi wengi ni wakristu au wapagani, wavaa kobazi hawana mchango wowote zaidi ya kuleta ugaidi. Nakiri kuwa Roman walikosea sana kuanzisha hii dini ya kijinga sanaHapa nchini ndio usiguse kabisa.
Ndio utaleta chanzo kwanini kukaja sababu za namba badala ya majina katika mitihani.
Hapa TZ ndio kabisaa wagalatia hamuwagusi kifikra wavaa kobazi.
Ukitaka tutaanza shule binafis,za serikali,vyuoni hadi kwa viongozi.
Una takwimu ?Bila kuyumba yumba au kuleta kashfa kwa pande yoyote, wavaa kobazi na wakristo wapi wako vizuri kuhusu hii elimu ya kisayansi dhidi ya ile elimu dhahania(elimu ahera)?
Mbona unapuyanga!?Mkuu wavaa kobazi ni watu wa hovyo na masikini sana hapa Tanzania, kwanza hawana elimu dunia kwani wao wanawaza ahera na mabikra 72 pindi wakifa. Wagunduzi wengi ni wakristu au wapagani, wavaa kobazi hawana mchango wowote zaidi ya kuleta ugaidi. Nakiri kuwa Roman walikosea sana kuanzisha hii dini ya kijinga sana
Litafikiwa lini maana kila siku linafikiwa ila haliishi leo idf wameanza kulia lia kwamba kaskazini ya Ghaza hamas wameanza kujikusanya upya safari hii zayuni kajazwa na kajaa acha tuendelee kuonaGaza inaukubwa Kilometres 41 kwa urefu na 6 kwa upana ni sehemu ndogo sana kila Tunnel itafikiwa na kuteketezwa.
Ni suala la muda tu kabla ya zayuni kutema bungoNgoja kipigo kiendelee...
Bado wagalatia hawatakuelewa wana vichwa vigumu sanaaaMbona unapuyanga!?
Umesema unazungumzia Tanzania,mbona unaenda nchi za nje!??
Una uhakika wavaa kobazi masikini!?
*Saudi Arabia.
*Oman.
*Indonesia.
*Malaysia.
*Brunei Daarusalaam.
*Qatar.
*Kuwait.
*UAE/Dubai.
*Bahrain.
*Turkiye.
Hizi nchi za kimasikini!???
πππππππππ
Wagunduzi wengi ni wapagani sio wakristo usitudanganye bro.
Unajua mchango wa sayansi wa Uturuki na waajemi duniani!??
Hiyo Algebra unayotamba nayo hivi unajua kama ni ya Kobazi!?
Vifaa vya upasuaji hususan vya uchanaji hivi unajua kama ni vya kobazi!?
Unapozungumzia ugaidi basi hakuna gaidi kama USA, tena wacha nikutajie ugaidi wao;
*USA imekua ikifanya majaribio ya biological na chemical weapons Marshall islands,na ikiwatumia wakaazi wa hivyo visiwa kama lab rats huku ikiwapa vijidola viduchu.Je huu ni ubinadamu!?
*USA anaongoza kuvamia nchi za watu na kuingilia sovereignty zao,nikitaja za waarabu utasema nawatetea waarabu nakutajia za wagalatia wenzenu,VIETNAM,CUBA,VENEZUELA,HAITI.Hayo mataifa yote USA yamemfanya nini!?
*USA anahusika na ufadhili wa blood minerals DR Congo na nchi baadhi za Afrika magharibi.
*USA inahusika na kufadhili MAKUNDI ya kigaidi tofauti,Taliban ilifadhiliwa na USA kuivunja USSR.
ISIS ilifadhiliwa na USA kumuangusha Bashar Al Assad.
Al Qaeda walifadhiliwa na USA kupigana na Houthi Yemen ili Mansour abaki.
Aya nani gaidi hapo!??
Pasi na kusahau uhalifu wa kivita aliofanya mataifa mbali mbali ikiwemo Iraq.
Kamsome Julian Assange mzungu pure alirekodi Kila WAR CRIMINALS alizofanya USA Iraq.
Shida yenu wagalatia wa Tanzania mnachukulia kila kitu udini pasi na kutizama ukweli na uhalisia.
Huyo USA mnayemkumbatia ndio anawalazimisha mkubali watoto wenu wasagane na wafirane wanaume kwa wanaume kwa kivuli cha misaada ya kimataifa.
Wanawaanzishia hadi mashirika ya kupenyeza hizo agenda.
Wanawaletea hadi mavyakula ya GMO ili kutimiza azma zao.
Bro why can't you wake up!??
Mbona udini unawapofusha kiasi hicho aiseeee!?
Matunnels mengi yamefikiwa hujaona hata lile alilokuwemo Sinwar mwanzo lilifikiwaLitafikiwa lini maana kila siku linafikiwa ila haliishi leo idf wameanza kulia lia kwamba kaskazini ya Ghaza hamas wameanza kujikusanya upya safari hii zayuni kajazwa na kajaa acha tuendelee kuona
Hii yote ni kukaririshwa na kutokuruhusu akili ifunguke nje ya boksi.Bado wagalatia hawatakuelewa wana vichwa vigumu sanaaa