Wanajeshi wa Israel wanazidi kuuliwa huko Gaza

Wakristo na wagalatia na wanaojiita wapagani wasipo zinduka duniani wataenda zindukia makaburini mbaya zaidi watakuwa wameishachelewa ila ukweli ni kwamba adui wa uislam waislam ukristo na wakristo ni Marekani Uingereza na shosti zake kadhaa sababu hao wauaji linapokuja suala la maslahi yao wao wanakuua tu hata kama uwe msalaba wa mbao Venezuela πŸ‡»πŸ‡ͺ Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo na Cuba πŸ‡¨πŸ‡Ί ni mifano michache kati ya mengi
 


Hivi nyie watu hata IQ ndogo sana hamna, hiyo clip is AI generated, sio halisi, is fake, ila sbb hujui kitu, yaani akili yako haijui takataka ni zipi na safi ni ipi, wewe ni somba somba, hopeless, akili huna kabisa..
 
Hawana akili.
Kuna muda mimi nawatukana sio kwamba mimi ni mtusi hapana.
Mimi sio mtusi ila kuna muda nawatukana makusudi kwa ujinga wao kichwani.
 
Hawana akili.
Kuna muda mimi nawatukana sio kwamba mimi ni mtusi hapana.
Mimi sio mtusi ila kuna muda nawatukana makusudi kwa ujinga wao kichwani.
Hehehe hawana akili kweli nadhani kuwaambia hawana akili sio tusi bali kuwapa sifa yao
 
Mkuu videos za Asange kuhusu ukatili Wa USA Iraq nazipata wapi na mm nizione.
 
Mkuu videos za Asange kuhusu ukatili Wa USA Iraq nazipata wapi na mm nizione.
Daah nyingi walizipiga pin maana walimshutumu Assange Kwa security breach na espionage kama sijakosea.
Alikaa muda mrefu uhamishoni jamaa.
Kwasasa unaweza ukapata makala tu ila video ngumu.
Nipe muda nizitafute article zake nizilete hapa mkuu ili Kila kitu kiwekwe bayana.
 
Asante sana mkuu kwa kuchukua muda wako na kuandika haya, lakini mkuu je unakataa kuwa wavaa kobazi siyo tatizo duniani kuliko hao USA? Imagine dunia bila USA na wavaa kobazi ndiyo super power. Tuishie hapa mkuu
 
Vijana wanauana wazee wamekaaa maofisini. Siku vijana wa duniani wakijua kuwa wanatumika na wazee, hakuna ataekubali kwenda vitani. Vita ni propaganda ya wazee kujivunia mapesa kwa kumwaga damu za vijana. Kwa nini kijana wa kiislael amuuue wa kipalestina wakati hawana ugomvi , wanarithishwa chuki na mazee yenye tamaa ya madaraka.
Ifike mahala. Vijana wa dunia wajue wanatumiwa na wao ndio wanakufa huku mazeee yanaendelea kupeta na vimwana mijini. Netanyahu na Shaha waende uwanja wa vita. Hawa viongozi wanajificha na kusakizia vijana wauane.
 
Asante sana mkuu kwa kuchukua muda wako na kuandika haya, lakini mkuu je unakataa kuwa wavaa kobazi siyo tatizo duniani kuliko hao USA? Imagine dunia bila USA na wavaa kobazi ndiyo super power. Tuishie hapa mkuu
Huwezi badili kile unachoamini kichwani,umeshajiwekea akilini wavaa kobazi waovu hilo ni gumu kubadilishwa.
Aya tuishie hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…