Wanajeshi wa Israeli wazingira hospitali yenye handaki ambalo ndio makao makuu ya HAMAS

Wakishatoka raia na mateka wao nadhani watafanya hilo jambo
 

Hali za hospitali bado ni tete huku Macron atoa wito Israel kuacha kuwaua wanawake na watoto wachanga Gaza​

 
Tulia mpewe dozi. Si mlichokoza nyuki
 
Tupia nyoka wengiiiiiii 😂😂😂😂😂
 
Israel wao wanawatwanga HAMAS, hawawapigi waislam wala wakristo. Kwanini mnalumbana hapa kana kwamba anayepigwa ni  muislam? Tunawajua waislam wakweli hawawezi kuwa magaidi. Na muislam wa kweli anapambana na ugaidi. Acheni udini, Israel anamtwanga Hamas hamtwangi Muslims
 
Propoganda za kishoga mashoga wenzako ndiyo watakuamini onyesha hilo handaki hapo hospital waliweka tenki la maji wanasema handaki hili wapate sababh ya kuuwa raia lakini dunia imeishafahamu ushenzi wao.
Onyesha walichopata hapo Hospital
Asilimia 90 ya mashoga ni Ijumaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…