econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Hamas wanaomba poo wanajuta kwa kinachowakuta.
Wamechelewa Sana. Maana hapa wameahazingiriwa na IDF. Ingekuwa raia Hamna basi wangemaliza wote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamas wanaomba poo wanajuta kwa kinachowakuta.
Duh I hope Mungu aliekuumba amekusikia na atakujibu kwa kweli na hali unayostahili.Wakatoliki wote ni mashoga
Si tatizo kuingia tatizo watatoka hapo warudi walipotokea salama, Hamasi kawavuta taratibu sa ngojea uone kama watabaki Gaza
Huyu mara zote adithi zake ni zuga tu - tatizo lake hana weledi wa kutofautisha baina ya propaganda za CNN na Serikali ya Natenyahu dhidi ya Wapalestina yeye anatumika kama vuvuzela tu wa kuwakandia Wapalestina.Hamna handaki zuga tu hiyo
KAFIRI WEWE INAONEKANA UMEPEWA KAZI MAALUM KUWEKA PROPAGANDA JF.
KafiriSio kweli, Kafir ni mtu yeyote asiye mcha Mungu.
Kafiri kwani kutukana? Huyu kafiri yaani sio muislamKwahiyo wewe propaganda zimekushinda hadi umebaki kutukana hovyo,unawadharirisha waislamu wenzio mnaonekana wote mnauwezo mdogo wa kifikra.
Kafiri
Kafiri kwani kutukana? Huyu kafiri yaani sio muislam
Mwenyezi Mungu hawakatazi kuwafanyia hisani na uadilifu wale ambao hawakupigana nanyi kwa ajili ya dini, wala hawakuwafukuza katika nchi zenu. Hakika Mwenyezi Mungu anawapenda wafanyao uadilifu. Isipokuwa Mwenyezi Mungu anawakataza kuwafanya marafiki wale wanaopigana nanyi katika dini, na wakawafukuza katika nchi zenu na wakasaidia katika kufukuzwa kwenu, na wawafanyao marafiki, basi hao ndio madhalimu" (60: 8 - 9)
Hujui? Ndio maana nikakwambia kafiriKwahiyo hapo gaza inapiganiwa dini?
Hujui? Ndio maana nikakwambia kafiri
Kafiri ana dini?Basi dini itakayoshinda ndio dini sahihi ya Mungu wa kweli,
Kafiri ana dini?
mkuu😁😁😁Mi nipo upande wa Israel kmmke PALESTINE wailaumu HAMAS na nyie waislam mihemko kama inawauma nendeni mkajiunge huko mchezee
Neno kafir (Kafiri) hutumika kumaanisha mtu anayeukanusha Uislamu, anayeonesha kutoshukuru neema, anakuwa mbali, anakwepa na kufunika. Kama neno, linamaanisha mtu asiye na Imani.Kwani kafiri ni nani?
But why Hamas wameweka Kambi yake ndani ya hospital?hawajui Kama Kuna wagonjwa? Kuna watoto? Kuna kinamama Kuna watu wapo ICU na ventilator machine?Hali za hospitali bado ni tete huku Macron atoa wito Israel kuacha kuwaua wanawake na watoto wachanga Gaza
Neno kafir (Kafiri) hutumika kumaanisha mtu anayeukanusha Uislamu, anayeonesha kutoshukuru neema, anakuwa mbali, anakwepa na kufunika. Kama neno, linamaanisha mtu asiye na Imani.
Nataman hili handaki lingekuwa chini ya msikiti Al quasa
Wanatumia phosphorusMule ndani inawezekana kweli Kuna mtandao wa maandaki wa Hamas maana raia wa kawaida pamoja na staffs wa hospital hawataki kabisa kuondoka pamoja na kuonywa zaid ya mara 10.
Kuna jamaa alitoa wazo humo kwenye mahandaki kwann IDF wasitupie panya. Nge, tandu, taka za choo nk?