Wenzenu wanatumia drones nyie mmebakia kwenye miavuli. This stone age method of fighting does not work any longer.Kuruka kwa miavuli ni ngumu sana na inahitaji ustadi na ueledi wa hali ya juu. Wanajeshi hawa wamepata mafunzo ya hali ya juu ili kuweza kuruka kwa miavuli na kunyemelea adui nyakati za usiku. Hawa hawafungwi na kamba na kuvurutwa na helicopter kama watu wengine.
Hamna paratroopers tz, so hakuna kufanana hapa[emoji1][emoji1] maonyesho ya Kiafrica yanachekesha Sana,hayanaga utofauti.Kila sehemu mambo yao yanafanana/Ni yaleyale.
Namna mnahangaika na Tanzania, hivi kumbe inawawasha sana?Hamna paratroopers tz, so hakuna kufanana hapa
Al shabaab watatu tu waliikalisha westgate hao jamaa wakaishia kuiba parachichi #wajingaNyiNyiHakuna haja ya dramas hapa sijui kubeba miti for what,
Unajua hao wamepata training wapi?Namna mnahangaika na Tanzania, hivi kumbe inawawasha sana?
Angalia hiyo then mwaka gani utajua mwenyewe!
Na sio mwaka huu.
Unalia juu ya ukweliAl shabaab watatu tu waliikalisha westgate hao jamaa wakaishia kuiba parachichi #wajingaNyiNyi
Ilikuwa kipindi cha kikwete hicho kama sikosei ni 2014 au 2015 nashangaa nNamna mnahangaika na Tanzania, hivi kumbe inawawasha sana?
Angalia hiyo then mwaka gani utajua mwenyewe!
Na sio mwaka huu.
Hujitambui nyie ni wadogo zetu kijeshi aiseeHamna paratroopers tz, so hakuna kufanana hapa
Kulikua na ulazima wa kuwazu gumzia wao fungua na kamba?[emoji1787].wakenya wacheni madharauKuruka kwa miavuli ni ngumu sana na inahitaji ustadi na ueledi wa hali ya juu. Wanajeshi hawa wamepata mafunzo ya hali ya juu ili kuweza kuruka kwa miavuli na kunyemelea adui nyakati za usiku. Hawa hawafungwi na kamba na kuvurutwa na helicopter kama watu wengine.
Nyie hamuezi temmbea na magogo Nyie [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hamna paratroopers tz, so hakuna kufanana hapa
Acha ujuha, training za Parachute SA, Russia, Cuba, France na UK. Hivi mnafikiri training mnazo peke yenu!?Unajua hao wamepata training wapi?
Tanzania hamna paratroopersHujitambui nyie ni wadogo zetu kijeshi aisee
Niletee hio parachute battalion nioneAcha ujuha, training za Parachute SA, Russia, Cuba, France na UK. Hivi mnafikiri training mnazo peke yenu!?
Kama huna la kufanya katafune Githeri
Humo kichwani mwako mmejaa funza, unabadilika badilika mara ushike majani mara uvunje njiti kama mtoto wa kike akitongozwa, stiki kwenye ulichokileta na sio kubadilika badilika.Niletee hio parachute battalion nione
Haya ndio majibu. Haya majibu yenye ushahidi kabisa,huyu jamaa asipoenda kujinyonga mtaniambiaNamna mnahangaika na Tanzania, hivi kumbe inawawasha sana?
Angalia hiyo then mwaka gani utajua mwenyewe!
Na sio mwaka huu.