nguvusimba
JF-Expert Member
- Feb 17, 2020
- 1,124
- 1,839
hahahahahahahaha, wakisema kimeumana ndiyo wanamaanisha hawa kenya drinking force hahahahah😄😄 Mwanajeshi anaiba biskuti pale Westgate 😄😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahahahahaha, wakisema kimeumana ndiyo wanamaanisha hawa kenya drinking force hahahahah😄😄 Mwanajeshi anaiba biskuti pale Westgate 😄😄
Na nyie ni vitukuu kwa child soldiers wa DRC.,, rebels🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hujitambui nyie ni wadogo zetu kijeshi aisee
Kushuka kwa miavuli ni hatari zaidi. Unaweza kuvunjika mgongo, mat*ko au hata kufariki kabisa.Kuna siku waliwahi kufanya hiki wakati wa JK, hadi JK mwenyewe akakoshwa vibaya sana na kuwaomba waende waka-"shake hands" naye baada ya kuwa wameshuka. Hili nalo walishafanya, tena walifanya kali zaidi kuzidi hiki ulichoonyesha wewe hapa.
By the way, mimi kama layman niulize swali; lipi ni zoezi hatari zaidi kufanya kati ya komandoo kushuka kwa mwavuli na kushuka kwa kamba akitokea juu kwenye helicopter?
Hiyo ya kujifunga kamba sio operation ya kijeshi. Hio ilikuwa ni kituko tu. Wao wanakuwa ni target practice nzuri sana kwa wanajeshi wenye shabaha. Eti wanavutwa kwa kamba huku wakining'inia kama bendera.Wewe unaongea usichokijua.
Hizo ni tactics za kijeshi na zote zinafanywa kwa operation maalum kulingana na mahitajio ya operation yenyewe, siyo kila operation ni miavuli au kamba.
Uliza siku nyingine.
Unaendelea kudhirisha kuwa hujui.Hiyo ya kujifunga kamba sio operation ya kijeshi. Hio ilikuwa ni kituko tu. Wao wanakuwa ni target practice nzuri sana kwa wanajeshi wenye shabaha. Eti wanavutwa kwa kamba huku wakining'inia kama bendera.
Unaongea utadhank Tz hakuna askari wa miavuli.Kushuka kwa miavuli ni hatari zaidi. Unaweza kuvunjika mgongo, mat*ko au hata kufariki kabisa.
Hulazimishwi kuamini. Ni hiari yako.Kwa hivyo wewe ni mwanajeshi paratrooper? [emoji16][emoji16][emoji23][emoji1787]. Unatuona mafala sana.
Wale walioiba mikate westgate ni kikosi gani mkuu?Hizo ni kazi za gsu Reece squad
Bila shaka wewe dish limeyumba. Mwenzio alieleta mada kaona amechemka katulia. Wewe umeona umeshindwa huko umegeukia paratroopers.Jamaa mmoja mmemshangilia nikama malaika[emoji23][emoji23] tanzania hamna paratroopers
Huwa hawakubali kushindwaBila shaka wewe dish limeyumba. Mwenzio alieleta mada kaona amechemka katulia. Wewe umeona umeshindwa huko umegeukia paratroopers.
Kuruka kwa miavuli ni ngumu sana na inahitaji ustadi na ueledi wa hali ya juu. Wanajeshi hawa wamepata mafunzo ya hali ya juu ili kuweza kuruka kwa miavuli na kunyemelea adui nyakati za usiku. Hawa hawafungwi na kamba na kuvurutwa na helicopter kama watu wengine.
Namna mnahangaika na Tanzania, hivi kumbe inawawasha sana?
Angalia hiyo then mwaka gani utajua mwenyewe!
Na sio mwaka huu.
Hapa kwa mazoea tunaletanga facts, na mimi niliuliza niletewe evidence ya any paratrooper battalion you have, simpleBila shaka wewe dish limeyumba. Mwenzio alieleta mada kaona amechemka katulia. Wewe umeona umeshindwa huko umegeukia paratroopers.
Nakazia hapoAl shabaab watatu tu waliikalisha westgate hao jamaa wakaishia kuiba parachichi #wajingaNyiNyi