Wanajeshi wa Kenya wa kuruka kwa miavuli wameonyesha ugwiji wao. Mambo ya kushuka kwa kamba tumewaachia wengine.

Wanajeshi wa Kenya wa kuruka kwa miavuli wameonyesha ugwiji wao. Mambo ya kushuka kwa kamba tumewaachia wengine.

Kuruka kwa miavuli ni ngumu sana na inahitaji ustadi na ueledi wa hali ya juu. Wanajeshi hawa wamepata mafunzo ya hali ya juu ili kuweza kuruka kwa miavuli na kunyemelea adui nyakati za usiku. Hawa hawafungwi na kamba na kuvurutwa na helicopter kama watu wengine.


Ndo hao waliokua wanaiba maziwa westgate..hahahaha..

Alshabab ndo kipimo chenu kenge nyie
 
Ndo hao waliokua wanaiba maziwa westgate..hahahaha..

Alshabab ndo kipimo chenu kenge nyie
Hakuna kitu yoyote tanzania inajua juu ya terrorism, hawa alshabaab wenyewe wanapigwa somalia wanakuja kuua watu innocent kenya, only a devil worshipper kama wewe ndio anaeeza shabikia, ikiwa msomali mmoja hapo tz aliwahangaisha, usicheze mtu ameamua kufa
 
Hakuna kitu yoyote tanzania inajua juu ya terrorism, hawa alshabaab wenyewe wanapigwa somalia wanakuja kuua watu innocent kenya, only a devil worshipper kama wewe ndio anaeeza shabikia, ikiwa msomali mmoja hapo tz aliwahangaisha, usicheze mtu ameamua kufa
What is KDF doing inside Somalia?, Why KDF went to Somalia, selling charcoal?.
 
Hahahaha TPDF walishafanya Sanaa izi zoezi za kuteremka na parachuti
 
Daaaahhh.
Leo tunaaga makomandoo 6 waliofyekwa na wazee wa kazi huko northern Moqambique
Wale watoto wa pale Mozambique bado wanawapa kipigo hadi sasa?...sasa mkipatana na mashababi siwatamaliza jeshi nzima
 
Kuruka kwa miavuli ni ngumu sana na inahitaji ustadi na ueledi wa hali ya juu. Wanajeshi hawa wamepata mafunzo ya hali ya juu ili kuweza kuruka kwa miavuli na kunyemelea adui nyakati za usiku. Hawa hawafungwi na kamba na kuvurutwa na helicopter kama watu wengine.



Hii tulishafanya kitambo Sana wakati wa JK ilikua siku miaka 50 ya Muungano tafuta YouTube huko uone
 
Kuruka kwa miavuli ni ngumu sana na inahitaji ustadi na ueledi wa hali ya juu. Wanajeshi hawa wamepata mafunzo ya hali ya juu ili kuweza kuruka kwa miavuli na kunyemelea adui nyakati za usiku. Hawa hawafungwi na kamba na kuvurutwa na helicopter kama watu wengine.


Wamewasogerea alshabab na hiyo miamvuli au kurukaruka tu na miamvuli kukwepa alshabab.
 
Dawa ya al shabaab
FB_IMG_1609135949586.jpg
View attachment 2060885
 
Wenzenu wanatumia drones nyie mmebakia kwenye miavuli. This stone age method of fighting does not work any longer.
Iktokea mwanajeshi kaumia au yupo kwenye mazingira hatari,anahitaji msaada wa haraka kuokolewa na bila maadui kufahamu,drones zitashuka na kumbeba?
 
Mimi nachojiuliza hizi show za kijeshi za Kiafrika zinaweza kuwatisha wazungu kweli wakati silaha zinatoka kwao?
 
Iktokea mwanajeshi kaumia au yupo kwenye mazingira hatari,anahitaji msaada wa haraka kuokolewa na bila maadui kufahamu,drones zitashuka na kumbeba?
Ndio maana nikasema mtoa mada na wewe mnafikiria vita vya za mawe au ile misako ya kukamata walevi wa gongo. Nchi zimefunga air defense systems hata nzi akiingia wanamwona, wewe unazungumzia askari wa mwavuli kuingia bila kuonekana na adui! amka usingizini huko.
 
Hello, yaani unafikiri Simba wa nyika, watafanya display ya kuonesha military strengths zao ceremonially? Only in Kenya. Kama unategemea kujua jeshi la tz ni nini kuwa kuangalia maonyesho ya sherehe, utasubiri sana.
Hamna paratroopers tz, so hakuna kufanana hapa
 
Hello, yaani unafikiri Simba wa nyika, watafanya display ya kuonesha military strengths zao ceremonially? Only in Kenya. Kama unategemea kujua jeshi la tz ni nini kuwa kuangalia maonyesho ya sherehe, utasubiri sana.
Kwani wale walikua wa congo wakubeba miti ama?
 
Back
Top Bottom