Tetesi: Wanajeshi wa Tanzania na wenzao wa SADC Washikiliwa Mateka kama Mateka wa Vita na Wanamgambo wa M23 huko Goma

Kumbukumbu zangu zinaniambia askari wetu wote waliopo east congo,wakimaliza operation zao upitia rwanda kurudi nyumbani,tuache hizi propaganda
 
Hii ni akili matope?
Mhariri ni mnyarwanda unategemwa amkaange Kagame?
Jamaa bwege sana huyo yaani kabisa anatuletea habari ambayo imehaririwa na Mnyarwanda anataka ndio tuiamini? Eti Tshekeds alikuwa anajiandaa kuivamia Rwanda serious? Hata mtoto mdogo anayefuatilia hii battle hawezi kukubqliqnq nq huo uongo.
 
Moja ya vitu ambavyo vinaua uzalendo kwa kasi ni uchawa na ubinafsi.

Naamini kabisa kwa hali ilivyo hapa nchini vijana ambao wako tayari kulisaliti taifa lao wakitangaziwa dau na maadui ni wengi sana, maana kwanza wana hasira na serikali na hali ngumu ya kimaisha wakati huo kuna mafisadi yananeemeka huko juu.
 
Kagame ukiendekeza mazungumzo na yeye ndo anakupanda kichwani. Huyu dawa yake ni kumfanyia mafia tu na baadae kumpotezq kabisa.
Kagame alishatingisha kiberiti akaona sisi ni wepesi na ana tumudu vizuri kabisa, ndio maana huwa anajiamini kupita kiasi dhidi yetu.

Licha ya kwamba sisi ndio tumeshikiria uchumi wa nchi yake kwa asilimia kadhaa(kwenye suala zima la logistics) ila ana kiburi cha kutuvimbia na wala hatuogopi... sidhani kama angekuwa ndio Uhuru au Ruto anatawala hapa kwetu angekuwa na kiburi hicho.
 
Kilichoniuma ni heshima aliyopewa Kagame alipokuja pale Airport wakati vijana wetu wameshikiliwa mateka na vikosi vyake.

Sijui tumekuwaje Tanzania.
Mkuu, Jeshi letu linatumika kisiasa zaidi na ndio maana tumefika hatua hii. Inasikitisha sana kuona tumejiingiza katika mgogoro unaotuvunjia heshima.
 
Ukiingia kwenye 18 zao,wakati wanakubinya pumbu uwaambie ulikozitoa hizi taarifa,utaona wanaharakati uchwara free free
Akili umeziacha chooni nini? Nimeweka hadi source ya hiyo taarifa alafu unauliza tena? Au ndo dishi kuyumba?
 
DR Congo zenye makandokando (complexity) ya kuvuta na kupiganisha majeshi ya nje ndani ya DR Congo huku suluhu ya kudumu ya amani na usalama kushindwa kupatikana kutokana na makundi mengi kushirikishwa.

Pamoja na majeshi ya kigeni Angola, Namibia, Zimbabwe, kuwa na vifaa kibao, pesa ndefu ya askari wa kulinda amani ya Umoja wa Mataifa, morali vita vya Congo, maelfu ya askari wa kulinda Amani chini ya mwamvuli wa UN / SADC / EAC lakini imefahamika kuwa mwenyeji aliyepo madarakani Kinshasa kama mtawala (serikali ya Congo ) ndiyo mchawi mkuu anayetumika kuhujumu juhudi zote za nchi jirani, kikanda na kimataifa

TOKA MAKTABA :
Jeshi imara la South Afrika tangu 2016 misheni zake Congo zimeshindwa pamoja na kuwa wana zana kali za kisasa :

View: https://m.youtube.com/watch?v=x6BYYyukjDIHii ๐˜€๐˜๐—ผ๐—ฟ๐˜† ilirushwa mara ya kwanza ๐Ÿญ๐Ÿด ๐—ฆ๐—ฒ๐—ฝ๐˜๐—ฒ๐—บ๐—ฏ๐—ฒ๐—ฟ ๐Ÿฎ๐Ÿฌ๐Ÿญ๐Ÿฒ.

Akisindikizwa na helikopta maarufu ya Rooivalk mfano wa ngome yenye ulinzi uliosheheni silaha kali , Carte Blanche anasafiri hadi kambi ya kijeshi iliyotekwa hivi majuzi ndani ya misitu ya tropiki kaskazini mwa Beni katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

John Webb anapata ruhusa ya kipekee kuvifikia vituo vya mstari wa mbele vya jeshi la South Africa SANDF katika eneo maarufu la liliopachikwa jina la kuogofya la Pembe Tatu ya Mauti (Triangle of Death) katika Mkoa wa Kivu Kaskazini tunapowatembelea wanajeshi wetu walio mstari wa mbele katika vita dhidi ya waasi wa ADF.

Tunakutana na wanajeshi ambao uMauti umeshindwa kuchukua roho zao katika uwanja wa vita na vile vile katika majukumu muhimu ya usaidizi wa mapigano, na marubani wa SANDF wanaofanya kazi kama sehemu ya kitengo cha anga cha Umoja wa Mataifa ambao wamekuza sifa ya ustadi na ujasiri wa kufika maeneo haraka kupambana na adui.

Carte Blanche pia anakutana na Jenerali wa SANDF Derrick Mgwebi ambaye aliteuliwa kuongoza operesheni ya jumla ya Umoja wa Mataifa ya kulinda amani nchini DRC - ambayo bado ni Misheni kubwa zaidi ya kulinda amani duniani.
 
Cha kufurahizha kuna wanajeshi wawili wa kike wa South Africa ni wajawazito.
 
Cha kufurahizha kuna wanajeshi wawili wa kike wa South Africa ni wajawazito.
Kati ya kipindi ambacho Rwanda alijiandaa kutufanya SADC kuonekana wajinga ni kipindi hiki.

Na wanatangaza kweli kuwa askari wa Afrika Kusini walipata ujauzito Congo. Intergenerational taswira kama wale wana jeshi la wapigana miti tu ndo mana waliuwawa na kutekwa.

Kagame ni wa kushughulikiwa kwa gharama yeyote ile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ