Wanajeshi wa Ukraine waelekea kukomboa mji wa Kherson unaokaliwa na Urusi

Wanajeshi wa Ukraine waelekea kukomboa mji wa Kherson unaokaliwa na Urusi

Sexer

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2014
Posts
8,440
Reaction score
8,149
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky anasema majeshi yake yanasonga mbele ‘’hatua kwa hatua’’ katika eneo la kusini linalokaliwa la Kherson.

Mji wa Kherson ulitekwa na Urusi mapema katika vita na unakaa kwenye eneo la kimkakati magharibi mwa mto Dnipro.

Siku ya Jumamosi, maafisa wa ulinzi wa Uingereza waliripoti mapigano makali karibu na Kherson.

Hatua hiyo ya mapema ya Ukraine ilimaanisha kuwa njia za usambazaji bidhaa za Urusi magharibi mwa mto zilikuwa ‘’hatarini zaidi’’, kulingana na tathmini yao.

Mapema mwezi huu, Naibu Waziri Mkuu wa Ukrainia Iryna Vereshchuk aliwataka wakaazi wa Kherson kuhama mji huo haraka iwezekanavyo ili kuepuka kunaswa katika jiji hilo wakati wa makabiliano makali Ukraine kusini.

‘’Ni muhimu kufanya hivyo kwa vikosi vya wanajeshi vya Ukraine kutohatarisha raia wakati wa operesheni za kukera,’’ aliiambia TV ya serikali.

Screenshot_2022-07-25-11-22-13-19.jpg
 
Naskia nato walikua wanataka kuvamia maeneo ya Urusi DPR walioyateka juzi, kilichowakuta [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116][emoji116]

Jaribio la counteroffensive la Wanajeshi wa Ukraine uko Kherson limeshindikana na wanajesh wa ukraine wapata hasara kubwa, Kirill Stremousov, naibu mkuu wa DPR.
 
Vikosi vya Urusi vimeanzisha mashambulizi makali huko Bakhmutskoye, kusini-mashariki mwa Soledar.Wagner wafanikiwa kusogea mbele zaidi ya km 2 kutoka Artyomovsk (Bakhmut). Ripoti bado kuhibitishwa lkn inadai idadi kubwa ya wanajeshi wa Ukreni wametekwa nje kidogo ya Seversk[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Naskia nato walikua wanataka kuvamia maeneo ya Urusi DPR walioyateka juzi, kilichowakuta [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116][emoji116]

Jaribio la counteroffensive la Wanajeshi wa Ukraine uko Kherson limeshindikana na wanajesh wa ukraine wapata hasara kubwa, Kirill Stremousov, naibu mkuu wa DPR.
Endelea kusikia
 
Naskia nato walikua wanataka kuvamia maeneo ya Urusi DPR walioyateka juzi, kilichowakuta [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116][emoji116]

Jaribio la counteroffensive la Wanajeshi wa Ukraine uko Kherson limeshindikana na wanajesh wa ukraine wapata hasara kubwa, Kirill Stremousov, naibu mkuu wa DPR.
Naskia pia Rais wa China ametaka dini ya kiislam iachane na story za Muhammad ifuate mfumo wa China.
Screenshot_2022-07-19-23-52-40-44.jpg
 
HIMARS zinafanya yake maana zilikung'uta ile S-300 jana,
Mamluki 4 wa kigeni wameuliwa huko #Siversk
1. Edward Patrignani kutoka #Sweden
2. Emile-Antoine Roy-Sirois kutoka #Canada
3. Luke Lutsyshyn - USA
4. Brian Young - USA
#Zelenksy #UkraineRussianWar #Ukraine️ https://t.co/mAyvNrGmNI
20220725_100130.jpg
20220725_100127.jpg
20220725_100125.jpg
20220725_100123.jpg
 
ProRussia/Putin kina struggleman lazima waje haraka sana hapa kuja kukanusha🤔
 
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky anasema majeshi yake yanasonga mbele ‘’hatua kwa hatua’’ katika eneo la kusini linalokaliwa la Kherson.

Mji wa Kherson ulitekwa na Urusi mapema katika vita na unakaa kwenye eneo la kimkakati magharibi mwa mto Dnipro.

Siku ya Jumamosi, maafisa wa ulinzi wa Uingereza waliripoti mapigano makali karibu na Kherson.

Hatua hiyo ya mapema ya Ukraine ilimaanisha kuwa njia za usambazaji bidhaa za Urusi magharibi mwa mto zilikuwa ‘’hatarini zaidi’’, kulingana na tathmini yao.

Mapema mwezi huu, Naibu Waziri Mkuu wa Ukrainia Iryna Vereshchuk aliwataka wakaazi wa Kherson kuhama mji huo haraka iwezekanavyo ili kuepuka kunaswa katika jiji hilo wakati wa makabiliano makali Ukraine kusini.

‘’Ni muhimu kufanya hivyo kwa vikosi vya wanajeshi vya Ukraine kutohatarisha raia wakati wa operesheni za kukera,’’ aliiambia TV ya serikali.

View attachment 2303127
Acha habari za uongo hao waukraine wenu wamefukuzwa Kherson na hawana uwezo wa kuikomboa huo mji na warusi wanaendelea kuharibu hizo silaha zenu.
 
Back
Top Bottom