The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Swala ni upinza au siasa. Kisheria vyote ni vyama vya siasa na viko sawa. CCM kujiona wako above everything ndiyo inayokuchanganya.Nawasalimu kwa jina la JMT.
Hivi wanajeshi wastaafu wanaruhusiwa kujiunga na vyama vya upinzani katika majukumu yoyote yale?
Watu wa itifaki majawabu Tafadhali!
Anyway, jibu ni SIYO KOSA. Hata Akina Kikwete, Makamba, Kinana. Nahuye, Mahita na wengine wengi tu walikuwa jeshini.