Wanajeshi wastaafu wanaruhusiwa kujiunga na vyama vya Upinzani?

Wanajeshi wastaafu wanaruhusiwa kujiunga na vyama vya Upinzani?

..wanaruhusiwa.

..Mmoja wa makamanda walioongoza vita vya Kagera, Maj.General Marco Mwita Marwa, jina la kivita " jenerali kambale," aliwahi kuwa mwanachama wa Chadema.

..pia baadhi ya waasisi wa mageuzi ya siasa nchini walikuwa ni wanajeshi wastaafu, kwa mfano, Capt.Mashaka Nindi Chimoto.

Chimoto ni mmoja wa waasisi wa National Committee for Constitutional Reforms ambayo baadae ilibadilishwa na kusajiliwa kama chama cha siasa.
Unamaanisha NCCR_MAGEUZI ndugu?
 
Nawasalimu kwa jina la JMT.

Hivi wanajeshi wastaafu wanaruhusiwa kujiunga na vyama vya upinzani katika majukumu yoyote yale?

Watu wa itifaki majawabu Tafadhali!
Kwani ukistaafu hurusiwi kuajiriwa na mwajiri mwingine. Ukistaafu ni sawa na mwanamke aliyepewa talaka au kufiwa anaweza kuolewa na mwanaume mwingine na maisha yakaendelea.
 
Wanaopindua huwa ni wa vyeo vya chini baada ya kushindwa kuvumilia mbinyo kutoka kwa wenye mamlaka lakini viongozi walio karibu nao hawashiriki moja kwa moja

..mapinduzi mengi hufanywa na majeshi ambayo umeyaita " rasmi. "

..na yapo mapinduzi yaliyofanywa na maofisa wa chini, na yapo yaliyofanywa na maofisa wa ngazi za juu.

..pia unapozungumzia jeshi lazima uwe specific ktk maelezo yako. Unaposema askari wa " vyeo vya chini " unakuwa too general.

..Jeshini kuna maofisa na wapiganaji. Sasa uliposema askari wa vyeo vya chini ulimaanisha nini?

..Maofisa kwa kiingereza wanaitwa commisioned officers. Na wapiganaji wanaitwa non commisioned officers.

..Pia kuna junior officers na senior officers, lakini ili kutunza muda sitaingia huko.
 
Unamaanisha NCCR_MAGEUZI ndugu?

..Ndio.

..chama cha NCCR-Mageuzi chimbuko lake ni National Committee for Constitutional Reforms.

..Tume ya Jaji Nyalali iliundwa ili kujibu madai ya kamati iliyojulikana kama NCCR kwa upande wa Tanganyika na Kamahuru kwa upande wa Zanzibar.

..Baada ya bunge kuridhia mfumo wa vyama vingi ndipo vyama mbalimbali vikaanzishwa, na baadhi ya wajumbe wa kamati ya NCCR wakaamua kuunda chama chao, na kuongeza neno Mageuzi.
 
Nawasalimu kwa jina la JMT.

Hivi wanajeshi wastaafu wanaruhusiwa kujiunga na vyama vya upinzani katika majukumu yoyote yale?

Watu wa itifaki majawabu Tafadhali!

Unauliza kitu gani bwasheee...

Wajeda ambao wapo kwenye majukumu ya jeshi mbona wanateuliwa na serikali ya CCM kuwa wakuu wa mikoa, wilaya na idara mbalimbali...

Kina Kinana, Makamba, JK na wengine wengi tu waliostaafu mbona wapo CCM hadi sasa...

Sasa si zaidi kwa mtu aliyestaafu jeshi??
 
Nawasalimu kwa jina la JMT.

Hivi wanajeshi wastaafu wanaruhusiwa kujiunga na vyama vya upinzani katika majukumu yoyote yale?

Watu wa itifaki majawabu Tafadhali!
Akili yako inakutu ndomana unaulizaga ushuzi!!
Asee Kajambie lumumba eroo kwani lazima ujambie humu? ustuletee ukuda...
Mods wazamu fagia haya matakataka!!!
 
Akili yako inakutu ndomana unaulizaga ushuzi!!
Asee Kajambie lumumba eroo kwani lazima ujambie humu? ustuletee ukuda...
Mods wazamu fagia haya matakataka!!!
Hahahaaaa...... Manka umechanganya mbege na kimpumu lazima uteseke!
 
Hilo pumbavu mleta mada sijui hata lina akili za wapi..
Anaona ni haki na sawa kwa Wanajeshi na Polisi wanavyojiunga CCM..
Lakini hawa jamaa hawakujiunga na upinzani kama ulivyosema bali walipata ajira ya kumlinda Kiongozi wa Upinzani.
Ukitaka kujua akili za vitoto vilivyozaliwa kwenye mikesha ya mwenge johnthebaptist ndiye mfano halisi. Amejizolea sifa kem kem humu JF kama mwanzisha mada za kipumbavu nambari one kama kilivyo chama chake CCM.

Tunaomfahamu fika hata hatujishughulishi naye...fikiria mtu anayeamini kwamba ukishaitwa mpinzani wewe si Mtanzania na unapoteza haki zako zote za kiraia kama Mtanzania.

Baada ya kuzikwa kwa yule mungu wake dhalimu mwendakuzimu tulidhani atabadilika lakini wapi...kaniki yangi yake hata ukiifua kwa OMO! Adui nambari one wa taifa hili ni CCM.
 
Kosa lao ni kua wakati Magufuli na Chama dola anapambana kuifuta CHADEMA kwa kutumia Sabaya na Bashite na PoliCCM.
hawa wangeomba uteuzi wa ukuu wa wilaya, na kuahidi kuwapoteza CHEDEMA, sio kumlinda Mbowe tena

“Huwezi kutusaliti ukasavaivu”
Amelaaniwa yule MFU kwa kweli.
This is point mwana jiwe ndo chanzo cha haya.jiwe alikuwa mtu wa ovyoo sana
 
Nawasalimu kwa jina la JMT.

Hivi wanajeshi wastaafu wanaruhusiwa kujiunga na vyama vya upinzani katika majukumu yoyote yale?

Watu wa itifaki majawabu Tafadhali!
Hivi Tanzania kuna chama cha upinzani? Kingekuwepo wanajeshi wasingekuwa wanakuwa deployed CCM!
 
Kwa muda wote unejaa humu unaamini Mbowe ni mpinzani huyo ni mtumishi wa Umma anayefanya kazi yake Chadema ndo mana analindwa na makomandoo
 
Nawasalimu kwa jina la JMT.

Hivi wanajeshi wastaafu wanaruhusiwa kujiunga na vyama vya upinzani katika majukumu yoyote yale?

Watu wa itifaki majawabu Tafadhali!
Mbona wanaruhusiwa kujiunga na CCM hadi wanakuja kuwa wabunge? Kangi Lugola ni Polisi mstaafu, kada kindakindaki wa CCM hadi kuwa Waziri wa mambo ya ndani!.
Muulize na Zelothe wa Police na wapo wengine wengi wa jeshi la Wananchi ma Police
Bwashe johnthebaptist Zelothe Steven aliyekuwa RPC ktk mikoa kadhaa sasa ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha. Inakuwaje hapo?
 
Kumlinda kiongozi wa chama cha upinzani ni kujiunga na chama cha upinzani?

Mkuu hata kama ingekuwa kujiunga - haki hiyo raia wa Tanzania anapewa na katiba. Ulinzi ni kazi halali. Nadhani tunakosea kujadili mada hii - maswali ya nani hii ndio chanzo cha imani kuwa ukiwa serikalini basi uko katika kutenda mambo yanayotakiwa na serikali iliyo madarakani hata kama mambo hayo ni kukiuka haki!!
 
Inatakiwa itungwe sheria kuzuia wanajeshi wastaafu kuajiriwa kazi ya ulinzi binafsi kwa wanasiasa hasa wale waliokuwa ngazi za 'commissioned officers' na waliopitia mafunzo maalumu ya ukomandoo kuepusha kutengeneza jeshi kivuli liwezalo kupindua nchi bila hivyo kuna kiongozi huenda akapinduliwa muda sio mrefu kwa visingizio vya 'battle confusion' na 'mental health disorder'
Hauelewi nn ndugu? Hao ndugu"watuhumiwa" wapo walio fukuzwa kwa taarifa wanazo zitoa, wengine wamepata changamoto za kiafya wakiwa kazini kwa Maelezo yao. Wakapoteza sifa za kuendelea kulitumikia jeshi.Hivyo wanaruhusiwa kwa Mujibu wa Sheria za nchi kujitaftia kipato Chao kwa njia halali Kama ilivyo kwa raia wengine.
 
Nawasalimu kwa jina la JMT.

Hivi wanajeshi wastaafu wanaruhusiwa kujiunga na vyama vya upinzani katika majukumu yoyote yale?

Watu wa itifaki majawabu Tafadhali!
Acha ujinga! kila mtu ana uhuru wa kuchagua chama akitakacho!! hata ambao hawajastafu, wanaweza kuwa wanachama wa vyama vingine! Ccm muache kuhozi utashi wa watu!
 
Ndugu john mbatizwa jibu ni hapana hawaruhusiwi kabisaaaa maana nchi yetu sio ya vyama vingi katika itifaki za kiutawala ila ni ya vyama vingi kwa nje kuwapendezesha mabwana zetu mabeberu! So wanaruhusiwa only ccm chama dola kama kanari k
Mmoja wa akawa mwenezi ccm
 
Back
Top Bottom