Intellectual wa jamii forum hujiulize utakapoandika utapata majibu gani! Angalia sasa unavyoaibishwa! Kwani hukujua kuwa hao wapo wengi ndani ya CCM. Au hukujua kama CCM ni Cha siasa? Mada nyingine zinaonyesha ulivyo kichwani!Nawasalimu kwa jina la JMT.
Hivi wanajeshi wastaafu wanaruhusiwa kujiunga na vyama vya upinzani katika majukumu yoyote yale?
Watu wa itifaki majawabu Tafadhali!
Amekunywa pombe ya machicha iliyolala inaitwa mbitu.😝😝😝😝Huyu mtu ameuliza swali la kipumbavu sana
Ndiyo maana yake. Hukumbuki General Waitara alijiunga na CHADEMA huko Mara?Nawasalimu kwa jina la JMT.
Hivi wanajeshi wastaafu wanaruhusiwa kujiunga na vyama vya upinzani katika majukumu yoyote yale?
Watu wa itifaki majawabu Tafadhali!
Wanaopindua huwa ni wa vyeo vya chini baada ya kushindwa kuvumilia mbinyo kutoka kwa wenye mamlaka lakini viongozi walio karibu nao hawashiriki moja kwa moja..mwisho utashauri tufute jeshi kabisa.
..unafahamu serikali ngapi dunia hii zimepinduliwa na majeshi rasmi vs serikali ngapi zimepinduliwa na askari wastaafu?
Hahahaaaa...... Punguza taarabu tigo!Intellectual wa jamii forum hujiulize utakapoandika utapata majibu gani! Angalia sasa unavyoaibishwa! Kwani hukujua kuwa hao wapo wengi ndani ya CCM. Au hukujua kama CCM ni Cha siasa? Mada nyingine zinaonyesha ulivyo kichwani!
Nipo na kisado cha mbege hapa bwashee!Amekunywa pombe ya machicha iliyolala inaitwa mbitu.😝😝😝😝
Mbege utapiga chafya bwashee!Weye umeandaliwa mbitu na nyamsa kwa Mwagongo Ipogolo.😝😝😝😝Nipo na kisado cha mbege hapa bwashee!
Vyama vya upinzani na CCM kuna tofauti gani? Kama mstaafu wa jeshi anaweza kugombea kupitia CCM, why not vyama vya upinzani?? Labda swali lako lingekua "mstaafu wa jeshi, anaruhusiwa kujiunga na chama cha siasa?" bila kujali ni chama gani.Nawasalimu kwa jina la JMT.
Hivi wanajeshi wastaafu wanaruhusiwa kujiunga na vyama vya upinzani katika majukumu yoyote yale?
Watu wa itifaki majawabu Tafadhali!
Hahahaaaa.......!Mbege utapiga chafya bwashee!Weye umeandaliwa mbitu na nyamsa kwa Mwagongo Ipogolo.😝😝😝😝
Plus Captain Mkuchika nk nkSwala ni upinza au siasa. Kisheria vyote ni vyama vya siasa na viko sawa. CCM kujiona wako above everything ndiyo inayokuchanganya.
Anyway, jibu ni SIYO KOSA. Hata Akina Kikwete, Makamba, Kinana. Nahuye, Mahita na wengine wengi tu walikuwa jeshini.
Fafanua maana swali lako ni tata.Nawasalimu kwa jina la JMT.
Hivi wanajeshi wastaafu wanaruhusiwa kujiunga na vyama vya upinzani katika majukumu yoyote yale?
Watu wa itifaki majawabu Tafadhali!
Hii shida yote uliyopata kuelezea, siyo kwamba hajui.johnthebaptist,
Vyama vya upinzani vinatambulika kisheria na msajili wa vyama vya siasa.
Hivyo mtanzania yeyote hatakuwa amefanya kosa akijiunga na chama chochote cha siasa chenye usajili wa muda au chenye usajili wa kudumu katika daftari la Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa Tanzania. Kisha kushiriki katika shughuli halali za chama hicho kwa namna yoyote ile iwe ya kisiasa , utumishi, kujitolea, uongozi n.k
Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa
Karibu kwenye tovuti ya Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa . Kupitia tovuti hii, utapata taarifa za uhakika juu ya shughuli za Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini na taarifa za uhakika juu ya Vyama vya Siasa.
Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imejikita katika usimamizi wa Sheria ya Vyama vya Siasa Na 5 ya mwaka 1992 na Sheria ya Gharama za uchaguzi ya mwaka 2010 ili kuhakikisha uwepo na ukuaji wa demokrasia ya vyama vingi nchini.
SOMA ZAIDI KUHUSU OFISI HII :bofya
Source : ORPP Website
Ila polisi wastaafu.Nawasalimu kwa jina la JMT.
Hivi wanajeshi wastaafu wanaruhusiwa kujiunga na vyama vya upinzani katika majukumu yoyote yale?
Watu wa itifaki majawabu Tafadhali!
Je maana ya kustaafu unaijua? Au kustaafu na kufukuzwa kazi ni kitu kimoja?Maana ya uasi unaujua?
NgeraNipo na kisado cha mbege hapa bwashee!
Je weye waijua maana?Je maana ya kustaafu unaijua? Au kustaafu na kufukuzwa kazi ni kitu kimoja?
kumlinda kiongozi wa ccm sikujiunga na ccmKumlinda kiongozi wa chama cha upinzani ni kujiunga na chama cha upinzani?