[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alafu sisi mother anaenda kwao mpaka kina mange wanamshika ushungi apige nao picha.
wahuni na abiria wengine wanakatiza hapo pembeni[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tusubiri uhuru day waje wamebeba mibegi mizito na kuvunja mawe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahHukuona kule mazishini kwa malkia joe aliingia na msafara samia akapanda kimbinyiko!!? Kumbe hukuona.
Eeh!!mgeni kama wingu la mvua. If you know you knowSalaam ndugu zangu kuna jambo limenifikirisha kidogo baada ya juzi kuja huyo mgeni kutoka Usa sasa baada ya kutua tu kila kitu cha ulinzi kilikuwa chini ya wageni kuanzia Airport mpka sehemu alipokuwa huyo mgeni na mpaka anaondoka wanajeshi wa kigeni ndio walikuwa wanaosimamia show nzima ya ulinzi ya viongozi wote wawili,
Sasa najiuliza hivi wanajeshi wetu wanajisikia kuona nchi yao inalinda na wengine ina maana wao hawaaminiki??
Hamna anayekuzuia kucheka, Shida ni kwamba unaquote comment ya mtu kwa emoji [emoji848] huku watu wanajenga hoja sasa unamkata stimu yule anayechukua nondo anakuta umecomment emoji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kheeeeh wee mie nisichekee kisa nn?? Hebu niachee, makasiriko yako huko huko, hainihusu.
Sasa sisi bongo tutafanyaje USA ili hali hata wakienda kutembea ulaya ambapo pia wanatupa misaada km yote ila USA pia wanaenda na walinzi wao.Salaam ndugu zangu kuna jambo limenifikirisha kidogo baada ya juzi kuja huyo mgeni kutoka Usa sasa baada ya kutua tu kila kitu cha ulinzi kilikuwa chini ya wageni kuanzia Airport mpka sehemu alipokuwa huyo mgeni na mpaka anaondoka wanajeshi wa kigeni ndio walikuwa wanaosimamia show nzima ya ulinzi ya viongozi wote wawili,
Sasa najiuliza hivi wanajeshi wetu wanajisikia kuona nchi yao inalinda na wengine ina maana wao hawaaminiki??
Mwenye nguvu muite PAWASalaam ndugu zangu kuna jambo limenifikirisha kidogo baada ya juzi kuja huyo mgeni kutoka Usa sasa baada ya kutua tu kila kitu cha ulinzi kilikuwa chini ya wageni kuanzia Airport mpka sehemu alipokuwa huyo mgeni na mpaka anaondoka wanajeshi wa kigeni ndio walikuwa wanaosimamia show nzima ya ulinzi ya viongozi wote wawili,
Sasa najiuliza hivi wanajeshi wetu wanajisikia kuona nchi yao inalinda na wengine ina maana wao hawaaminiki??
Mgeni anajisimamiaje kiulinzi Nyumbani kwako wakati wwe mwenyeji ndiyo unzijua chochoroo zote za Nyumbani kwako!!?Marekani taifa kubwa mno hivyo hakuna tatizo wao kujisimamia kiulinzi.
Hata akienda Urusi anaweza fanya hayo anayotufanyia Africa!!??Ndio ndio, popote pale
Wewe ni zile type unaweza kuonewa na Tajiri au Kiongozi ukasema ni kawaida , mifumo ya dunia ipo hivyo kwahiyo na mwachia Mungu.Hiyo ni kawaida, na mifumo yote ya Serikali inajuwa. Siyo mara ya kwanza hilo kutokea kwani hata George Bush Jr, na Barack Obama walipokuja security protocol ilibadilika. Mind you USA ndiyo dunia
Hapana, kuna nchi wanaziamini suala la ulinzi linajitosheleza, kwa nchi nyingine za kiafrica ulinzi bado uko vhini kitecnolojiaIna maana Usa akienda hata nchi za Ulaya napo anafanya kama alivyofanya huku bongo??
Airport zote ni military base ndiyo maana kunakua airbase near by, mfano uko dhahili hapo airwing,radar system ilikua under close monitoring of us Navy and seal team.Wanajeshi wanalinda mipaka ya nchi, labda swali lako lingeenda kwa Polisi na vyombo vingine vya ulinzi wa ndani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Acha majungu hayoKwny mazishi ya Queen Elizabeth ulimuona Biden aki-share bus na wenzake?
Are you talking about a Cat [emoji250] au?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Trump alivyoenda uingereza kikosi Cha ulinzi Cha marekani kilichanganyikiwa baada ya paka was malkia kwenda kujipumzisha uvunguni mwa gari la Trump wakati limepaki ikulu ya uingereza. Walishindwa kumtoa kwani walielezwa paka Yule no popular uingereza .Aliondoka alivyotaka mwenyewe
Kama wewe ni kapuku huna lolote juu ya tajiri. Mwenye ngyvu mpisheWewe ni zile type unaweza kuonewa na Tajiri au Kiongozi ukasema ni kawaida , mifumo ya dunia ipo hivyo kwahiyo na mwachia Mungu.
Case in point. Coward.Kama wewe ni kapuku huna lolote juu ya tajiri. Mwenye ngyvu mpishe
Ukiona hivyo ujue inanchekeshaa kwangu binafsiii.Hamna anayekuzuia kucheka, Shida ni kwamba unaquote comment ya mtu kwa emoji [emoji848] huku watu wanajenga hoja sasa unamkata stimu yule anayechukua nondo anakuta umecomment emoji