Wanajeshi wetu wanajisikiaje??

Wanajeshi wetu wanajisikiaje??

Alafu sisi mother anaenda kwao mpaka kina mange wanamshika ushungi apige nao picha.
wahuni na abiria wengine wanakatiza hapo pembeni[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Salaam ndugu zangu kuna jambo limenifikirisha kidogo baada ya juzi kuja huyo mgeni kutoka Usa sasa baada ya kutua tu kila kitu cha ulinzi kilikuwa chini ya wageni kuanzia Airport mpka sehemu alipokuwa huyo mgeni na mpaka anaondoka wanajeshi wa kigeni ndio walikuwa wanaosimamia show nzima ya ulinzi ya viongozi wote wawili,
Sasa najiuliza hivi wanajeshi wetu wanajisikia kuona nchi yao inalinda na wengine ina maana wao hawaaminiki??
Eeh!!mgeni kama wingu la mvua. If you know you know
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kheeeeh wee mie nisichekee kisa nn?? Hebu niachee, makasiriko yako huko huko, hainihusu.
Hamna anayekuzuia kucheka, Shida ni kwamba unaquote comment ya mtu kwa emoji [emoji848] huku watu wanajenga hoja sasa unamkata stimu yule anayechukua nondo anakuta umecomment emoji
 
Salaam ndugu zangu kuna jambo limenifikirisha kidogo baada ya juzi kuja huyo mgeni kutoka Usa sasa baada ya kutua tu kila kitu cha ulinzi kilikuwa chini ya wageni kuanzia Airport mpka sehemu alipokuwa huyo mgeni na mpaka anaondoka wanajeshi wa kigeni ndio walikuwa wanaosimamia show nzima ya ulinzi ya viongozi wote wawili,
Sasa najiuliza hivi wanajeshi wetu wanajisikia kuona nchi yao inalinda na wengine ina maana wao hawaaminiki??
Sasa sisi bongo tutafanyaje USA ili hali hata wakienda kutembea ulaya ambapo pia wanatupa misaada km yote ila USA pia wanaenda na walinzi wao.

Acha tuwatizame tu.
 
Salaam ndugu zangu kuna jambo limenifikirisha kidogo baada ya juzi kuja huyo mgeni kutoka Usa sasa baada ya kutua tu kila kitu cha ulinzi kilikuwa chini ya wageni kuanzia Airport mpka sehemu alipokuwa huyo mgeni na mpaka anaondoka wanajeshi wa kigeni ndio walikuwa wanaosimamia show nzima ya ulinzi ya viongozi wote wawili,
Sasa najiuliza hivi wanajeshi wetu wanajisikia kuona nchi yao inalinda na wengine ina maana wao hawaaminiki??
Mwenye nguvu muite PAWA
 
Marekani taifa kubwa mno hivyo hakuna tatizo wao kujisimamia kiulinzi.
Mgeni anajisimamiaje kiulinzi Nyumbani kwako wakati wwe mwenyeji ndiyo unzijua chochoroo zote za Nyumbani kwako!!?
 
Hiyo ni kawaida, na mifumo yote ya Serikali inajuwa. Siyo mara ya kwanza hilo kutokea kwani hata George Bush Jr, na Barack Obama walipokuja security protocol ilibadilika. Mind you USA ndiyo dunia
Wewe ni zile type unaweza kuonewa na Tajiri au Kiongozi ukasema ni kawaida , mifumo ya dunia ipo hivyo kwahiyo na mwachia Mungu.
 
Ina maana Usa akienda hata nchi za Ulaya napo anafanya kama alivyofanya huku bongo??
Hapana, kuna nchi wanaziamini suala la ulinzi linajitosheleza, kwa nchi nyingine za kiafrica ulinzi bado uko vhini kitecnolojia
 
Wanajeshi wanalinda mipaka ya nchi, labda swali lako lingeenda kwa Polisi na vyombo vingine vya ulinzi wa ndani
Airport zote ni military base ndiyo maana kunakua airbase near by, mfano uko dhahili hapo airwing,radar system ilikua under close monitoring of us Navy and seal team.
 
Trump alivyoenda uingereza kikosi Cha ulinzi Cha marekani kilichanganyikiwa baada ya paka was malkia kwenda kujipumzisha uvunguni mwa gari la Trump wakati limepaki ikulu ya uingereza. Walishindwa kumtoa kwani walielezwa paka Yule no popular uingereza .Aliondoka alivyotaka mwenyewe
Are you talking about a Cat [emoji250] au?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wewe ni zile type unaweza kuonewa na Tajiri au Kiongozi ukasema ni kawaida , mifumo ya dunia ipo hivyo kwahiyo na mwachia Mungu.
Kama wewe ni kapuku huna lolote juu ya tajiri. Mwenye ngyvu mpishe
 
States ndio dunia yenyewe ndugu yangu japo roho inaniuma kuonekana sisi sio lolote

Roho huwa inaniuma sana
 
Wao wanalinda eneo sisi tunalinda mtu,ni kama mpira wao hukaba nafasi ya adui asipige sisi tunafuata mpira unakoelekea.
Kwa hiyo kama ni shambulizi sisi tunakimbilia paliposhambuliwa na sio palipo toka shambulio.
 
Hamna anayekuzuia kucheka, Shida ni kwamba unaquote comment ya mtu kwa emoji [emoji848] huku watu wanajenga hoja sasa unamkata stimu yule anayechukua nondo anakuta umecomment emoji
Ukiona hivyo ujue inanchekeshaa kwangu binafsiii.
Sorry lakini
 
Back
Top Bottom