Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siamini ktk bahati ila naamini katika pair..😀Kwani ulitaka uwe mume wa nani kama sio wa mtu? Shauri yako unachezea bahati[emoji23][emoji23][emoji23]
Stick to what you know, dont venture in unfamiliar territoriesKufahamiana tu na kubadilisha mazingira mkuu
Aya bhanaSiamini ktk bahati ila naamini katika pair..[emoji3]
Punda wa dar huyo..🤣
Muulize Mzigua90 akueleze ubaya wa kukutanaSiyo kwa ubaya bali kwa mema tu...tupange ratiba ya kuonana hata Mara mbili kwa mwaka....tunaonana kwa ajili ya kufurahi,kubadilishana mawazo,kubadilisha mazingira,kupeana michongo na vingine vingi visivyo na madhara.
Tusibaguane wala kuweka matabaka ...Mali ni zetu lakini uhai si Mali yetu bas muda huu tupo hai tutengeneze aman na upendo sisi kwa sisi.Tanzania ni yetu bas tusitengane wandugu.NAWAPENDA SANA!
"Uzee dawa",vijana hawalijui hili [emoji1][emoji1][emoji1]Naunganisha mikono kwenyw hii hoja....[emoji12]
Make sure huyo unaemuita wa bahati akufit.. lucky can fit or not but pair fits completely..😊Aya bhana
umesahau, kunakundi la free basics20-25,25-35,30-45,35-50,40-60,45-70,50-80 na kuendelea...kuingiliana kupo katika age coz kuna kijana ana mawazo ya kiutuuzima
Kibabu na bahati zangu...Sawa nipo tayari kuoana na wewe.
Sorry hapo ni typin era, nimemaanisha "kuonana".
[emoji3][emoji3]Tutajitambulisha id zetu au tunakutana tu Kama ming'ombe..?
Wewe dada tuonane basiSasa hata niandike mimi ni msagaji usagaji wangu wewe unakudhuru nn...just read it,comment then move on na mambo mengine.Huwez ukatajirika kwa kuishupalia tabia ya member wa jf
Kwamba ndio kana anzaa kujifunza kutumia JF[emoji3]We bado katoto hujui mengi..[emoji23]
YeahKwamba ndio kana anzaa kujifunza kutumia JF[emoji3]