WanaJF inatakiwa tuonane jamani

WanaJF inatakiwa tuonane jamani

Siyo kwa ubaya bali kwa mema tu...tupange ratiba ya kuonana hata Mara mbili kwa mwaka....tunaonana kwa ajili ya kufurahi,kubadilishana mawazo,kubadilisha mazingira,kupeana michongo na vingine vingi visivyo na madhara.

Tusibaguane wala kuweka matabaka ...Mali ni zetu lakini uhai si Mali yetu bas muda huu tupo hai tutengeneze aman na upendo sisi kwa sisi.Tanzania ni yetu bas tusitengane wandugu.NAWAPENDA SANA!
kweli kabisa,

Nakumbuka zamani tuliwahi kuwa na Chai day( search humu imo), tulikuwa tunakutana na kunywa pamoja huku tukijadili ujasiria mali. Ndipo nilipoonana na Max uso kwa uso, siku tamu zile hazitarudi.
 
Back
Top Bottom