WanaJF inatakiwa tuonane jamani

WanaJF inatakiwa tuonane jamani

Kumbe KUONANA, mimi macho yangu madogo yakasema KUOWANA, [emoji23]nikawa nishakupigia mahesabu, "wangu mleta mada" halafu wanaume wako wangapi, wanawake wako wangapi, tujue kila mmoja anaoa wangapi wangapi, kisha mimi niseme UFEI "naanza mimi kuchagua" [emoji23][emoji1787][emoji1787]
😂
 
Back
Top Bottom