Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 135,167
- 160,806
😉 turns me...Hahahha kucheka siwezi kuacha maana that always turn you…. Lol
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😉 turns me...Hahahha kucheka siwezi kuacha maana that always turn you…. Lol
Haahahha I know you have understood me…😉 turns me...
Nakuelewa sana sweetheart... Karambezi leo usije jisahahu alafu ukaanza kudekadeka...Haahahha I know you have understood me…
Muda unakimbia sana siku hizi...Naona jioni mbali…
Naomba nikuone...Hakika ya kishamba
😂Kumbe KUONANA, mimi macho yangu madogo yakasema KUOWANA, [emoji23]nikawa nishakupigia mahesabu, "wangu mleta mada" halafu wanaume wako wangapi, wanawake wako wangapi, tujue kila mmoja anaoa wangapi wangapi, kisha mimi niseme UFEI "naanza mimi kuchagua" [emoji23][emoji1787][emoji1787]
Chini ya kitovu...Sehemu gani....kichwa ...tumbo au kiwiliwili 😉
Hahahah bado… ntaka nilete ule mzigo unifanyie kaziNipo usharudi au bado?
Muone kwanza, hehehe ule mzigo ulete jioni...Hahahah bado… ntaka nilete ule mzigo unifanyie kazi
Nikiuleta jioni nitakuja kuuchukua sangap sasa….Muone kwanza, hehehe ule mzigo ulete jioni...
Utaondoka nao kwenye saa sita usiku hivi...Nikiuleta jioni nitakuja kuuchukua sangap sasa….
Mtoto wa mama mkwe una balaa wewe…. Sikupingi lakiniUtaondoka nao kwenye saa sita usiku hivi...
Karibu sana... na usikae sana huko...Mtoto wa mama mkwe una balaa wewe…. Sikupingi lakini
Okay sweetheart nimekueelewa…Karibu sana... na usikae sana huko...