WanaJF nisaidieni nimechepuka na mke wa mtu

Mods waneshindwa kazi sasa hivi kama maji ya kwenye dimbwi hayana mwenyewe unajichotea tu utakavyo
 
We Kenge sisi tunadili na kutafuta solusheni ya Wezi na Wabadhurifu wa matrilioni na mabilioni ya fedha za umma.. We unaleta Ukenge wako sahii.. Kenge Wewe
 
Unaweza kujipiga picga tukuone?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…