Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ebu ficha upuuzi wako upesiWanaoamini Mungu yupo mje hapa muone maajabu
Akaomba msaada kwa kenge wenzakeJamani msaidieni kijana mwenzenu
Hana kitambi? Ushawahi mt#mb?Nimekaza lishangazi li 1, kila nikitupia ***** linaniambia tuliza boli uwanja mpana....nitarudi
Mimi mjinga?jinga tu hilo
Nisaidieni[emoji24]Itabifi ipewr dawa ys kugeuja nyoka ili akija umgonge na sumu afe halafu mtorokee porini na nchepuko kenge mkaanze maisha napya.
Msaada mkuu mgongo unauma kinoma. Nimejipinda kuandika thread nipate dawaMods waneshindwa kazi sasa hivi kama maji ya kwenye dimbwi hayana mwenyewe unajichotea tu utakavyo
Mkuu vidole na mkia vinauma sanaHebu jipige picha halafu uitume hapa tupate uhakika [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nime type mno ila sioni dalili za tibaHebu jipige picha halafu uitume hapa tupate uhakika [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Natanguliza samahani kwa wote waliooa, nipo chumbani kwa mtu ambaye kasafiri, muda huu nimetoka kuzini na mkewe. Baada ya kuzini yeye kageuka kenge, niliogopa mno kumbe mumewe alimtega.
Namimi kutahamaki nimegeuka kenge, [emoji24] yaani ikabidi niiume simu meno na kuibeba mpaka mezani ukizingatia nilikua mfupi mno kuufikia uso wameza.
Hapa nimejipinda naumia kweli kweli kwani nafosi kutype kwakutumia mkia wangu, natype taratibu nisije nikakwaruza kioo na kucha nikakosa msaada.
NB: Najielewa kuongea tu ndo siwezi. Dawa gani ya haraka haraka naweza kutumia hapa?
kenge on the beat.
Unaweza kujipiga picga tukuone?Natanguliza samahani kwa wote waliooa, nipo chumbani kwa mtu ambaye kasafiri, muda huu nimetoka kuzini na mkewe. Baada ya kuzini yeye kageuka kenge, niliogopa mno kumbe mumewe alimtega.
Namimi kutahamaki nimegeuka kenge, [emoji24] yaani ikabidi niiume simu meno na kuibeba mpaka mezani ukizingatia nilikua mfupi mno kuufikia uso wameza.
Hapa nimejipinda naumia kweli kweli kwani nafosi kutype kwakutumia mkia wangu, natype taratibu nisije nikakwaruza kioo na kucha nikakosa msaada.
NB: Najielewa kuongea tu ndo siwezi. Dawa gani ya haraka haraka naweza kutumia hapa?