WanaJF nisaidieni nimechepuka na mke wa mtu

WanaJF nisaidieni nimechepuka na mke wa mtu

😂😂😂 Watu wako serious na stress za maisha yao hata hawajui kama umepost jukwaa la Chit Chat and Jokes
 
Ngoja nikusaidie kucheka maana nimecheka mpaka machozi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan nisaidie tu maana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌
 
  • Thanks
Reactions: ABJ
Natanguliza samahani kwa wote waliooa, nipo chumbani kwa mtu ambaye kasafiri, muda huu nimetoka kuzini na mkewe. Baada ya kuzini yeye kageuka kenge, niliogopa mno kumbe mumewe alimtega.

Namimi kutahamaki nimegeuka kenge, [emoji24] yaani ikabidi niiume simu meno na kuibeba mpaka mezani ukizingatia nilikua mfupi mno kuufikia uso wameza.

Hapa nimejipinda naumia kweli kweli kwani nafosi kutype kwakutumia mkia wangu, natype taratibu nisije nikakwaruza kioo na kucha nikakosa msaada.

NB: Najielewa kuongea tu ndo siwezi. Dawa gani ya haraka haraka naweza kutumia hapa?
kwa hiyo umewaandikia huu uzi kenge wenzio?
 
Nimekaza lishangazi li 1, kila nikitupia ***** linaniambia tuliza boli uwanja mpana....nitarudi
 
Itabifi ipewr dawa ys kugeuja nyoka ili akija umgonge na sumu afe halafu mtorokee porini na nchepuko kenge mkaanze maisha napya.
 
Back
Top Bottom