WanaJF tunaomuunga mkono Lissu sasa ni muda muafaka wa kumsaidia Lissu ashinde!

WanaJF tunaomuunga mkono Lissu sasa ni muda muafaka wa kumsaidia Lissu ashinde!

Amani yetu muhimu wakeleketwa pigeni kampeni zenu ila msiingie barabarani. Nataka kuona familia yangu yote tunakula Christmas pamoja kwa amani.
[emoji848][emoji848][emoji848] thoughtful....!!!!
 
Mimi kila ninapopita napita na John Pombe Magufuli.

Nimeongea na watu6 leo 5 wanaume mmoja mwanamama mwenzangu.

Wale wanaume kulikua na kijana wa kama miaka25 akaniambia dada hakuna mtu mwenye akili timamu atamnyima kura Magufuli

Mwanaume mwingine wa kama miaka 45 akaniambia mdogo wangu wote hao wanaopiga kelele ni wanasiasa wachumia tumbo. Wafanye siasa tuu ila kura ni kwa Magufuli

Baada ya hapo tukaulizana kuhusu vikatio wakasema viko powaaa nikajiondokea

Wanaomuunga jpm mkono wengi wako mtaani na wameshafanya maamuzi
Naomba tukutane na Mimi ili nikushawishi pia nawe ukachague haki
 

Amsterdam & Partners Eyes $4M Fee from Venezuela​

Fri., Mar. 27, 2020​

By Kevin McCauley

Amsterdam
Amsterdam & Partners will receive a $4M flat fee to push for the removal of US sanctions on Venezuela. The US does not recognize the government of Venezuela.
A&P assumed the work of Foley & Lardner, which resigned the account last month after Florida Senator Rick Scott blasted it for representing the "brutal regime" of Nicolas Maduro.
F&L was in line for a $12.5M flat fee for devising a "narrative and strategy" to help Venezuela remove the sanctions.
 
Mkuu utakuwa umedukua mawazo yangu!! lakini sio mbaya ukidukua kwa nia nzuri na matumizi mema!! Mimi Niko mbeya kata ya kolobe! Sasahivi nimetoka dukani kuwaelimisha watu!! nilikuta wateja wawili na bwana duka, waongea kuwa" Safari hii wapinzani hawatapata hata wabunge kumi" nilikuwa pembeni nikisubiri wahudumiwe ili na Mimi nihudumiwe!

Nilipoona wanazunguza hivyo, nilijitosa ktk mazungumuzo! nakuanza kuwaelimisha!! Nashukuru Mungu aliongezeka nakijana mmoja!! wote wamenielewa! na wameahidi kura kwa kamanda Lisu!!!
 
Machozi ya msaliti wa Nchi hayana thamani

Yan tangu Jana machozi yananitoka, naamini Tundu Lissu anashinda sasa je watamtangaza?
Yan sijui matokeo yakitoka nitakuwa katika hali gani jamani Naomba mniombee
 
Yaani tuandamane kwa ajili ya mtu anayeishi ubeligiji [emoji3][emoji3]

Tena ameshakata tiketi ya kurudi ubeligiji

Familia yake ameificha, mimi nikavunjwe mguu kwa kumpigania mtu aliyeshindwa Uchaguzi anatoa matusi
Kwa utolopo huu uliandika bila shaka yoyote wewe utakuwa ni mzee wa Likwidi tu!
 
Hebu fikiria mimi na akili zangu niwapigie ndugu zangu ati kumuombea kura msaliti wa Nchi !

Ee Mungu niepushe na hili laana
kubwa jinga.... wapi kasema uandamane, hapa watu wenye akili wanaongelea kura, mtoto wa mama unaongelea kuandamana
 
Amani yetu muhimu wakeleketwa pigeni kampeni zenu ila msiingie barabarani. Nataka kuona familia yangu yote tunakula Christmas pamoja kwa amani.

Mungu akuzidishie hekima kijana wetu. Tuendelee kukumbusha watu kutimiza haki yao ya kupiga kura na kudumisha amani wakati wa matokeo

Maamuzi ya kuingia barabarani bila kuelewa kura za uliyemtaka hazikutosha ni uvunjifu wa sheria
 
Yaani tuandamane kwa ajili ya mtu anayeishi ubeligiji [emoji3][emoji3]

Tena ameshakata tiketi ya kurudi ubeligiji

Familia yake ameificha, mimi nikavunjwe mguu kwa kumpigania mtu aliyeshindwa Uchaguzi anatoa matusi
Nitakuita tunywe bia ya ushindi wa Lissu baada ya uchaguzi

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Mashabiki wa lissu wanatia huruma

Wengi wamekata tamaa ya maisha
Mimi kila ninapopita napita na John Pombe Magufuli.

Nimeongea na watu6 leo 5 wanaume mmoja mwanamama mwenzangu.

Wale wanaume kulikua na kijana wa kama miaka25 akaniambia dada hakuna mtu mwenye akili timamu atamnyima kura Magufuli

Mwanaume mwingine wa kama miaka 45 akaniambia mdogo wangu wote hao wanaopiga kelele ni wanasiasa wachumia tumbo. Wafanye siasa tuu ila kura ni kwa Magufuli

Baada ya hapo tukaulizana kuhusu vikatio wakasema viko powaaa nikajiondokea

Wanaomuunga jpm mkono wengi wako mtaani na wameshafanya maamuzi
 
Mkuu utakuwa umedukua mawazo yangu!! lakini sio mbaya ukidukua kwa nia nzuri na matumizi mema!! Mimi Niko mbeya kata ya kolobe! Sasahivi nimetoka dukani kuwaelimisha watu!! nilikuta wateja wawili na bwana duka, waongea kuwa" Safari hii wapinzani hawatapata hata wabunge kumi" nilikuwa pembeni nikisubiri wahudumiwe ili na Mimi nihudumiwe!

Nilipoona wanazunguza hivyo, nilijitosa ktk mazungumuzo! nakuanza kuwaelimisha!! Nashukuru Mungu aliongezeka nakijana mmoja!! wote wamenielewa! na wameahidi kura kwa kamanda Lisu!!!

Hiyo kauli kuwa wapinzani hawatapata hata wabunge kadhaa inatamkwa sana na ccm kama mind games, ila watu wakate tamaa kupiga kura. Bahati nzuri hapa nilipo watu wameshastukia hiyo kauli, na wameapa kupiga kura za kishindo.
 
Back
Top Bottom