The unpaid Seller
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 2,113
- 6,251
Hua nikiwatafakari akili za wanawake najiuliza aidha ni wanafiki au wajinga sana au vyote basi nakosa jibu.
Wanakumbuka agizo la Mungu kwamba mwanaume atakula kwa jasho (Mwanzo:2) na kwamaana hyo ni jukumu la mwanaume kutafuta na wanashupalia andiko hilo mpaka mishipa inawatoka ila wanajisahaulisha na hawataki kabisa agizo la kua mwanamke atakua chini ya mwanaume, wanakwambia hili limepitwa na wakati sasa hivi ni sawa kwa sawa.
Ukiwauliza kama agizo la wao kua chini ya wanaume limepitwa na wakati basi na agizo la wao kuhudumiwa na wanaume limepitwa na wakati basi wajihudumie wenyewe na maisha yao hawatakubaliana na wewe wanataka wahudumiwe kama agizo la Mungu, jambo ambalo toka enzi wanaume tumekua tukitekeleza agizo hilo ila wao hawakotayari kutekeleza agizo kwao.
Yani kuliweka bayana wanataka usawa lakini hapo hapo wanataka na special treatment. Wa manaume lege lege wanaendeshwa sana na hawa wanawake wa kileo. Haaa haa ha
Japo sio wote (mke wangu hana mtazamo huu wa haki sawa bla bla)
Ila wanawake wengi wanaibukia na mtazamo wa haki sawa na vuguvugu la feminism ukikutana na mianamke yenye hulka hii ni toxic balaa, ni kama umekutana na mashetani mwenyewe.
Mungu mwenyewe mwenye utashi wmete aliamua kuumba mmoja akiwa na utawala juu ya mwingine Adam na Eva kwanini hakuumba Adam na Juma !?
Mwanaume omba Mungu akuepushe na chukua hatua za maksudi kujiepusha na wanawake mafemists maauna hizi harakati zimetufikia huku na hawa kina Chausiku ndio wamelipuka na uanaharakati.
Mungu akujalie kupata mke anaekubali nafasi yake kama mwanamke na wewe mwanaume mwenzangu usizingue mtunze, mlinde, mhudumie na MPENDE kwa pendo kuu maana hivyo ndio haki.
Wanakumbuka agizo la Mungu kwamba mwanaume atakula kwa jasho (Mwanzo:2) na kwamaana hyo ni jukumu la mwanaume kutafuta na wanashupalia andiko hilo mpaka mishipa inawatoka ila wanajisahaulisha na hawataki kabisa agizo la kua mwanamke atakua chini ya mwanaume, wanakwambia hili limepitwa na wakati sasa hivi ni sawa kwa sawa.
Ukiwauliza kama agizo la wao kua chini ya wanaume limepitwa na wakati basi na agizo la wao kuhudumiwa na wanaume limepitwa na wakati basi wajihudumie wenyewe na maisha yao hawatakubaliana na wewe wanataka wahudumiwe kama agizo la Mungu, jambo ambalo toka enzi wanaume tumekua tukitekeleza agizo hilo ila wao hawakotayari kutekeleza agizo kwao.
Yani kuliweka bayana wanataka usawa lakini hapo hapo wanataka na special treatment. Wa manaume lege lege wanaendeshwa sana na hawa wanawake wa kileo. Haaa haa ha
Japo sio wote (mke wangu hana mtazamo huu wa haki sawa bla bla)
Ila wanawake wengi wanaibukia na mtazamo wa haki sawa na vuguvugu la feminism ukikutana na mianamke yenye hulka hii ni toxic balaa, ni kama umekutana na mashetani mwenyewe.
Mungu mwenyewe mwenye utashi wmete aliamua kuumba mmoja akiwa na utawala juu ya mwingine Adam na Eva kwanini hakuumba Adam na Juma !?
Mwanaume omba Mungu akuepushe na chukua hatua za maksudi kujiepusha na wanawake mafemists maauna hizi harakati zimetufikia huku na hawa kina Chausiku ndio wamelipuka na uanaharakati.
Mungu akujalie kupata mke anaekubali nafasi yake kama mwanamke na wewe mwanaume mwenzangu usizingue mtunze, mlinde, mhudumie na MPENDE kwa pendo kuu maana hivyo ndio haki.