luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
Wakuu salaam
Wananchi wa kata ya Kibosho halmashauri ya wilaya ya Moshi wamekarabati barabara zote za eneo hilo kwa michango yao binafsi
Wananchi wa mkoa wa Kilimanjaro kwa muda mrefu wana utamaduni wa kuchangia shughuli za kimaendeleo bila kutegemea serikali.
Siku chache zilizopita wananchi wa kata za marangu mashariki,mwika kaskazini walifanya jambo hilo hilo
Na mwaka 2017 wananchi wa Vunjo walivunja rekodi ya michango Kitaifa kwa kuchangia shilingi bilion 7 kukarabati barabara zote za Jimbo hilo.
Hongereni Wana Kilimanjaro
Chanzo: Azam news
Wenzio wanaondoa shida zao wewe kalia kusema ni siasa... kalagabahooooooKampeni hizo anae ratibu ni mwanasiasa ambaye amefanikiwa kuwashawishi wananchi kupitia magroup ya wtsp
Huon attachment?Kitu haina picha kwendraa
Manispaa km 2 unakutana na nΓΏumba za nyasi bure kabisaWale wa Manispaa ya Kahama kuna jambo la kujifunza hapa.
Good ideaKampeni hizo anae ratibu ni mwanasiasa ambaye amefanikiwa kuwashawishi wananchi kupitia magroup ya wtsp
Manispaa km 2 unakutana na nΓΏumba za nyasi bure kabisa
Kama Amsterdam ππKibosho my mother's land.Hongera kwao.kwa hiyo sasa kibosho inang'aa?
Waje niwanyoroshe,kahama Bado sana,mfano eneo la mwendakulima ni Kijiji kabisa n'a punda zinabeba maji Ila ni municipal ππNgoja niwaite wadau hawa wenye nyuzi zao ikiwezekana wanyooshe maelezo.
Kwa mnaosifia Kahama huwa mnazingatia nini?
Ubovu wa barabara Kahama
Ncha Kali, Machepele wito bila baraka zenu hauwezi kuwa batili?
Wakuu salaam,
Wananchi wa kata ya Kibosho halmashauri ya wilaya ya Moshi wamekarabati barabara zote za eneo hilo kwa michango yao binafsi.
Wananchi wa mkoa wa Kilimanjaro kwa muda mrefu wana utamaduni wa kuchangia shughuli za kimaendeleo bila kutegemea serikali.
Siku chache zilizopita wananchi wa kata za marangu mashariki,mwika kaskazini walifanya jambo hilo hilo
Na mwaka 2017 wananchi wa Vunjo walivunja rekodi ya michango Kitaifa kwa kuchangia shilingi bilion 7 kukarabati barabara zote za Jimbo hilo.
Hongereni Wana Kilimanjaro
Chanzo: Azam news
Hii imetokea pia barabara ya kuelekea Hospitali ya Seliani Ngaramtoni ARUSHAWakuu salaam,
Wananchi wa kata ya Kibosho halmashauri ya wilaya ya Moshi wamekarabati barabara zote za eneo hilo kwa michango yao binafsi.
Wananchi wa mkoa wa Kilimanjaro kwa muda mrefu wana utamaduni wa kuchangia shughuli za kimaendeleo bila kutegemea serikali.
Siku chache zilizopita wananchi wa kata za marangu mashariki,mwika kaskazini walifanya jambo hilo hilo
Na mwaka 2017 wananchi wa Vunjo walivunja rekodi ya michango Kitaifa kwa kuchangia shilingi bilion 7 kukarabati barabara zote za Jimbo hilo.
Hongereni Wana Kilimanjaro
Chanzo: Azam news