Wamekataza kupigwa picha mkuu?Wakuu salaam,
Wananchi wa kata ya Kibosho halmashauri ya wilaya ya Moshi wamekarabati barabara zote za eneo hilo kwa michango yao binafsi.
Wananchi wa mkoa wa Kilimanjaro kwa muda mrefu wana utamaduni wa kuchangia shughuli za kimaendeleo bila kutegemea serikali.
Siku chache zilizopita wananchi wa kata za marangu mashariki,mwika kaskazini walifanya jambo hilo hilo
Na mwaka 2017 wananchi wa Vunjo walivunja rekodi ya michango Kitaifa kwa kuchangia shilingi bilion 7 kukarabati barabara zote za Jimbo hilo.
Hongereni Wana Kilimanjaro
Chanzo: Azam news
Baadae utakuwa ni utaratibu wa nchi nzima,serikal itaona tunaweza kama ambavyo imetuachia kujenga vyumba vya madarasaHicho kiherehere kitawaponza, kwani hawalipi kodi?
Waje niwanyoroshe,kahama Bado sana,mfano eneo la mwendakulima ni Kijiji kabisa n'a punda zinabeba maji Ila ni municipal 😄😄
Namnani 🙂Hata wa Upareni pande za Same walifanya hivi mwezi uliopita
Jimbo la Vunjo waliwahi kuchanga bilioni 9 kujenga barabara zao Magufuli akazuia ile account sasa wawe waangalifu huko Kibosho mama asije akawazuia kukarabati barabara zao.Huko huwa wana kawaida kuchagua upinzani na wote wanaochagua upinzani serikali ya ccm ilishasema wazi haitopeleka maendeleo kwa hiyo lazima wajiongeze
NaamHayo ndo maendeleo msisubiri serikal
Hongereni mtaniHata wa Upareni pande za Same walifanya hivi mwezi uliopita
😄😄😄 Chawa kama chawaTunamsifu Rais wetu kwa kuwawezesha kuwa na demokrasi ambayo imewapa fursa wananchi wa Kibosho kutupigia story za ujenzi wa barabara
👍Hii imetokea pia barabara ya kuelekea Hospitali ya Seliani Ngaramtoni ARUSHA
Labda kuvaa msuliPwani vipi??
Jiwe alkuwa mshamba alichanganyikiwa Jimbo Moja kuchangia ma biiJimbo la Vunjo waliwahi kuchanga bilioni 9 kujenga barabara zao Magufuli akazuia ile account sasa wawe waangalifu huko Kibosho mama asije akawazuia kukarabati barabara zao.
ZipoBila picha ni chai
Mbona huku Dodoma tangu uhuru ni ccm lakn barabara ni mbovu kama barabara za kwenda jehanami?Huko huwa wana kawaida kuchagua upinzani na wote wanaochagua upinzani serikali ya ccm ilishasema wazi haitopeleka maendeleo kwa hiyo lazima wajiongeze
Yaan huyo baba jaman ,amekataa kujenga barabara wananchi wamejichangisha ela Yao yy anaizuia ,sjui alitaka wachangishe zienda ChatoJimbo la Vunjo waliwahi kuchanga bilioni 9 kujenga barabara zao Magufuli akazuia ile account sasa wawe waangalifu huko Kibosho mama asije akawazuia kukarabati barabara zao.
Chedi avae hetidhe ahoNamnani 🙂
❤️❤️❤️Hongereni mtani
🤣🤣🤣🤣🤣Labda kuvaa msuli
Chedi jahakoHata wa Upareni pande za Same walifanya hivi mwezi uliopita
Chedi avae hetidhe aho