LGE2024 Wananchi Kibosho wakarabati barabara zote za mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Wamekataza kupigwa picha mkuu?
 
Huko huwa wana kawaida kuchagua upinzani na wote wanaochagua upinzani serikali ya ccm ilishasema wazi haitopeleka maendeleo kwa hiyo lazima wajiongeze
Jimbo la Vunjo waliwahi kuchanga bilioni 9 kujenga barabara zao Magufuli akazuia ile account sasa wawe waangalifu huko Kibosho mama asije akawazuia kukarabati barabara zao.
 
Jimbo la Vunjo waliwahi kuchanga bilioni 9 kujenga barabara zao Magufuli akazuia ile account sasa wawe waangalifu huko Kibosho mama asije akawazuia kukarabati barabara zao.
Jiwe alkuwa mshamba alichanganyikiwa Jimbo Moja kuchangia ma bii
 
Jimbo la Vunjo waliwahi kuchanga bilioni 9 kujenga barabara zao Magufuli akazuia ile account sasa wawe waangalifu huko Kibosho mama asije akawazuia kukarabati barabara zao.
Yaan huyo baba jaman ,amekataa kujenga barabara wananchi wamejichangisha ela Yao yy anaizuia ,sjui alitaka wachangishe zienda Chato
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…