Kibosho ipii hiyo?Wakuu salaam,
Wananchi wa kata ya Kibosho halmashauri ya wilaya ya Moshi wamekarabati barabara zote za eneo hilo kwa michango yao binafsi.
Wananchi wa mkoa wa Kilimanjaro kwa muda mrefu wana utamaduni wa kuchangia shughuli za kimaendeleo bila kutegemea serikali.
Siku chache zilizopita wananchi wa kata za marangu mashariki,mwika kaskazini walifanya jambo hilo hilo
Na mwaka 2017 wananchi wa Vunjo walivunja rekodi ya michango Kitaifa kwa kuchangia shilingi bilion 7 kukarabati barabara zote za Jimbo hilo.
Hongereni Wana Kilimanjaro
Chanzo: Azam news
Katika ubora wangu ili nipewe kitengo π π π π π ππππ Chawa kama chawa
πππ€£π€£π€£π€£π€£
Kuna Jamaa aliniambia Minazi ndio imewaharibu wazee wa Pwani, hawapalilii wala kuweka mbolea wanasubiri tu kuvuna nazi kila mwaka huku wanacheza bao vibarazani na kuoa wake wengi
Kibosho Umbwe bwasheeKibosho ipii hiyo?
Si mnasema huko barabara kila kona , mimi ninapoishi na kuzaliwa lami ipo tangu sijazaliwa .. π π π Mbona huku kila kona barabara zinarekebishwa na serikali yenyewe au nyie mnajenga flyover ?
Mbona wewe ni mshamba sana , kuelekea December tutaona mengi hata kukodisha magari si watu wanajua .
Hahaha eti kukodi magari,kwahyo Kila mwaka wanakodi? Vipi mbona mabasi yote tz nzima yanapewaga kibali maalumu Ili yaende route ya Moshi? Na ndege zote zinajaaga,hΓ’ta treni inajaaga mwezi mzimaMbona wewe ni mshamba sana , kuelekea December tutaona mengi hata kukodisha magari si watu wanajua .
View: https://youtu.be/NW7XostV22w?si=aQuWWu0yB91E6aod
Si mila zenu ,mbona idadi ya watu ni ndogo kabla ya december? kwani unafikiria wengine wanaenda mwezi wa 12 kama nyie ...Hiyo ni yenu kimpango wenu .Hahaha eti kukodi magari,kwahyo Kila mwaka wanakodi? Vipi mbona mabasi yote tz nzima yanapewaga kibali maalumu Ili yaende route ya Moshi? Na ndege zote zinajaaga,hΓ’ta treni inajaaga mwezi mzima
Tunapenda kwetu,hatuna nΓΏumba za hovyo kama nyie msiopenda makwenu