Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Sasa hivi maeneo mengi ya Mkoa wa DSM wananchi kwa umoja wao wameamua kuajiri walinzi binafsi na kuweka Vizuizi vya ukaguzi kwenye mitaa, ukifika kigamboni au Mbezi Beach ni lazima wenyeji wako wathibishe ujio wako mbele ya walinzi , vinginevyo utaishia njiani .
Pamoja na pongezi hizi kwa Wananchi kwa kuamua kujilinda Wenyewe na wahalifu, lakini kuna tafsiri kwamba jambo hili ni ishara ya Polisi kushindwa kutekeleza majukumu yao ya Halali baada ya kuelemewa na majukumu yasiyowahusu ya kisiasa.
Pamoja na pongezi hizi kwa Wananchi kwa kuamua kujilinda Wenyewe na wahalifu, lakini kuna tafsiri kwamba jambo hili ni ishara ya Polisi kushindwa kutekeleza majukumu yao ya Halali baada ya kuelemewa na majukumu yasiyowahusu ya kisiasa.