ngosha wa mwanza
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 3,832
- 11,964
Mkuu nimeelewa sana mada ndo maana wengine tumejiongeza lakini askari wetu pia wamekua wakitoa ushirikiano wa hali ya juu sana km wakiona no ya kamanda wetu akiita difenda fasta tu wanafika kwa kweli hili swala tusilete siasa humo maana tunajua tz ni kubwa mno na askari hawawezi kulinda kila mtaa.Tutatokomeza huu ukabaji na ujambazi wa hovyo pia na kuripoti watu mnao hisi si wazuri wanapo ingia mitaani kwenu sio mpaka msubiri polisi kisa eti wanalipwa na kodi zetu.Kama vile hujamuelewa mtoa mada. Sio kwamba napingana na wewe au yeye anapingana na wewe ila rudia tena kusoma ile uweze kuelewa mantiki ya hoja yake.