gabriel Heinze
JF-Expert Member
- Sep 18, 2020
- 275
- 424
Tatzo unaiweka kisiasa sana mara chadema, hili ni la watanzania wote.Ni mwanzo mzuri. Hiyo hatua ni hapo baadae, hasa tukielekea kwenye wizi wa kura za wananchi na ujinga mwingine unaofanywa na hizo tume feki za uchaguzi.
Kwa vile wananchi wameanza kuonyesha mwamko, inafaa sasa CHADEMA iwape elimu kutambua ni wapi juhudi zao hizi zinahitajika sana wakati huu muhimu sana katika hatma ya nchi yetu.
Ikiwezekana hata mapolisi pia wanapotaka kumuokoa mtu wao, wauwawe italeta heshima. Mwanangu siku akisema ndoto yake ni kuwa polisi ntamuua. Kazi ya laana ile.Umenena vema. Hata ue utaratibu wa kuchoma vibaka ulianza hivi hivi. Kabla yake hakuna kibaka aliyewahi kuchomwa. Raia kila walipomkamata kibaka walimpeleka polisi, lakini ipolisi badala ya kumchukulia hatua za kisheria kibaka, walimdai peßa kibaka, akishawapa, walimwachia. Kesho yake wananchi wanamwona kibaka mtaani anatamba. Ikatojea tukio moja tu Dar, Wananchi wakamchoma moto kibaka. Polisi wakatangaza kuwa wananchi wenye hasira kali wamemchoma moto kibaka. Habari zikasikika nchi nzima, na huo ukageuka kuwa ndio utaratibu wa kushughulikia vibaka.
Na hata hii hali ya sasa, taratibu, polisi wasiofuata utaratibu wa kuwakamata watuhumiwa, wanaweza kuishia kuchomwa moto na wananchi, wakichukiliwa kuwa wanamteka mtuhumiwa.
Polisi lazima wabadilike, wafuate utaratibu. Wasipobadilika kwa hiari, watabadilishwa kwa nguvu, na kufikua huko kuna gharama watailipa.
Utayaweza hayo mavaa kombati jua kaliTatzo unaiweka kisiasa sana mara chadema, hili ni la watanzania wote.
.Jogoo kawika amkeni kumeanza kucha!!!!!!!.
Dar kila mtu anajiangalia yeye tu 🤣 hata watu waje wakupige wakuue hamna mtu atasogea kutaka kujua shida ni nini zaidi zaidi watarekodi video tu ila sio ku interveneItoe Dar es Salaam Mkuu, watu wa Dar wako selfish sana hawawezi kuja kufanya hivo hata siku moja, haya mambo utayasikia mikoani tu......
Good move...Wakuu, tukio hili inasemekana limetokea Mwanza ambapo watu waliojitambulisha kama polisi waenda kukamata watu eneo hilo, raia wakazuia gari hilo mpaka mkuu wa kituo pamba aende kuwatambua kuwa kweli ni polisi.
Mwenye taarifa juu ya kilichojiri atujuze.
Sio kweli. Wanatangulia wasio na sare kisha wanafuata wenye sareWakivaa sale nirahisi mtuhumiwa kukimbia
Hawafanyi hivyoSio kweli. Wanatangulia wasio na sare kisha wanafuata wenye sare
Heko wana Mwanza kwa ujasiri mkiungana na CHADEMA tarehe 23 haya mambo ya utekaji yatakuwa historia.Wakuu, tukio hili inasemekana limetokea Mwanza ambapo watu waliojitambulisha kama polisi waenda kukamata watu eneo hilo, raia wakazuia gari hilo mpaka mkuu wa kituo pamba aende kuwatambua kuwa kweli ni polisi.
Mwenye taarifa juu ya kilichojiri atujuze.