Wananchi Mwanza wadaiwa kuzuia watu waliovalia kiraia kuondoka na watuhumiwa, waita Mkuu wa Kituo Pamba kuja kuwatambua

Wananchi Mwanza wadaiwa kuzuia watu waliovalia kiraia kuondoka na watuhumiwa, waita Mkuu wa Kituo Pamba kuja kuwatambua

Ni mwanzo mzuri. Hiyo hatua ni hapo baadae, hasa tukielekea kwenye wizi wa kura za wananchi na ujinga mwingine unaofanywa na hizo tume feki za uchaguzi.

Kwa vile wananchi wameanza kuonyesha mwamko, inafaa sasa CHADEMA iwape elimu kutambua ni wapi juhudi zao hizi zinahitajika sana wakati huu muhimu sana katika hatma ya nchi yetu.
Tatzo unaiweka kisiasa sana mara chadema, hili ni la watanzania wote.
 
Umenena vema. Hata ue utaratibu wa kuchoma vibaka ulianza hivi hivi. Kabla yake hakuna kibaka aliyewahi kuchomwa. Raia kila walipomkamata kibaka walimpeleka polisi, lakini ipolisi badala ya kumchukulia hatua za kisheria kibaka, walimdai peßa kibaka, akishawapa, walimwachia. Kesho yake wananchi wanamwona kibaka mtaani anatamba. Ikatojea tukio moja tu Dar, Wananchi wakamchoma moto kibaka. Polisi wakatangaza kuwa wananchi wenye hasira kali wamemchoma moto kibaka. Habari zikasikika nchi nzima, na huo ukageuka kuwa ndio utaratibu wa kushughulikia vibaka.

Na hata hii hali ya sasa, taratibu, polisi wasiofuata utaratibu wa kuwakamata watuhumiwa, wanaweza kuishia kuchomwa moto na wananchi, wakichukiliwa kuwa wanamteka mtuhumiwa.

Polisi lazima wabadilike, wafuate utaratibu. Wasipobadilika kwa hiari, watabadilishwa kwa nguvu, na kufikua huko kuna gharama watailipa.
Ikiwezekana hata mapolisi pia wanapotaka kumuokoa mtu wao, wauwawe italeta heshima. Mwanangu siku akisema ndoto yake ni kuwa polisi ntamuua. Kazi ya laana ile.
 
Itoe Dar es Salaam Mkuu, watu wa Dar wako selfish sana hawawezi kuja kufanya hivo hata siku moja, haya mambo utayasikia mikoani tu......
Dar kila mtu anajiangalia yeye tu 🤣 hata watu waje wakupige wakuue hamna mtu atasogea kutaka kujua shida ni nini zaidi zaidi watarekodi video tu ila sio ku intervene
 
Sio Dawa...!

Kamanda anakuja kuwaangalia hao Watu huku akiwa tayari keshapigiwa simu toka huko Mawinguni, kwamba akakubari kwamba ni Vijana wake...!

Atawachukua Watu wake na Mtuhumiwa japo Mtuhumiwa hata Uawa.
 
Uniform iwe na Jina na Namba ya Askari. Pia Kuna haja ya kuwasindikiza watuhumiwa Hadi kituo husika.
 
Wakuu, tukio hili inasemekana limetokea Mwanza ambapo watu waliojitambulisha kama polisi waenda kukamata watu eneo hilo, raia wakazuia gari hilo mpaka mkuu wa kituo pamba aende kuwatambua kuwa kweli ni polisi.

Mwenye taarifa juu ya kilichojiri atujuze.

Heko wana Mwanza kwa ujasiri mkiungana na CHADEMA tarehe 23 haya mambo ya utekaji yatakuwa historia.
 
Back
Top Bottom