Wananchi Mwanza walalamika vigogo kupendelewa viwanja

Unasubiria hela ya kukopeshwa wakati walamba asali wanaipata ndani ya siku moja tena ikiwa ni kama kifuta jashoo🤣🤣🤣🤣
Mlamba asali yeye ananyanyua tu simu na kumpigia gabachori mkwepa kodi, haloo hebu niingizie bilioni kuna kaplot nakataka.
 
Hawa wanaolalamika wantaka kutuletea dhahama kama ya yule mzee Magagnga wa Arusha aliyevunja mapagale yake eti yenye thamani ya milioni 200, pale chenye thamani ni ardhi kuwa mjini na sio yale mapagale,sasa hawa wanaotaka Isamilo wanataka wawekeze kwenye mapagale ya milioni 10 halafu baadae watakuja kudai nyumba zao zina thamani za mamilioni,kumbe chenye thamani ni ardhi na si mapagale, ila nae spuka kukimbilia Mwanza na kutaka kutuacha solemba sisi watu wa Mwanjelwa ndio nini?
 
Mbona tulia hajanunua njombe au njombe sio mji[emoji16][emoji16]
Wewe ni kiazi cha Hungumalwa..Hakuna kiongozi hana ardhi ya miti na Parachuchi Njombe..

Kumbuka nyie maskini mnatakiwa kuhama kule milimani Ili kupisha wawekezaji ambao ndio hao kina Tulia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…