Wananchi Simiyu wawajengea walimu nyumba za matope

Bora hata hizo za matope kuna walimu wanalala kwenye madarasa
Ualimu ni kazi ya kichoko hakuna
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu bora choko kuliko ticha manina [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
NAWAPONGEZA sana hao Wananchi kwa Kujenga hizo nyumba
Mkuu wa Mkoa yupo Mkurugenzi wa hiyo Wilaya yupo Mbunge wa hilo Jimbo yupo wote Wameshindwa NCHI INAKOPA KILA KUKICHA NCHI INAKUSANYA MATOZO NCHI INA TMRASLIMALI LUKUKI
CCM IPO MADARAKANI MIAKA 61 LAKINI WALIMU WANAJENGEWA TENA NA MASIKINI WALIPA KODI NYUMBA ZA UDONGO CCM OYEEE
 
Kwa maisha ya kijijini mwalimu kushindwa kujenga ni uzembe tu.

Sometimes walimu kupenda kujiendekeza, maana 3M unajikuta umejenga kinyumba chenye mazingira shwari.
 
Nyiee
 
Asilimia 90% ya nyumba wanazojenga wananchi zipo hivyo hata singida hizo nyumba zipo tele
 

Tusibeze hili,Angalia nia na wazo lao ni superb.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…