Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu bora choko kuliko ticha manina [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Bora hata hizo za matope kuna walimu wanalala kwenye madarasa
Ualimu ni kazi ya kichoko hakuna
BEI YA KILO MOJA YA MAKOPO IPO BEI JUU KULIKO BEI YA KILO MOJA YA PAMBA
Mbn wengine wapo vzr tuKuwa ticha bongo ni bora mara miA ukapige debe stand
NAWAPONGEZA sana hao Wananchi kwa Kujenga hizo nyumbaView attachment 2712893
HABARI Wananchi wa Kitongoji cha Ihula kilichopo Kata ya Gibishi Halmashauri ya wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu wameamua kujenga nyumba za tope ili kuwawezesha Walimu kuishi jirani na shule.
Wananchi hao wamesema walimu wakiwa karibu na mazingira ya shule wanao uhakikia wa kuwahi hususani vipindi vya asubuhi hivyo kuwawezesha watoto wao kuanza kufundishwa mapema.
"Tumeamua tujenge nyumba ili watoto wetu wapate huduma ya kufundishwa, hatuna nguvu ya kuwajengea nyumba ya block ndio maana tukaamua tujenge nyumba ya tope ili wasogee huku," amesema Loli Machama ambaye ni mwananchi
Kwa maisha ya kijijini mwalimu kushindwa kujenga ni uzembe tu.View attachment 2712893
HABARI Wananchi wa Kitongoji cha Ihula kilichopo Kata ya Gibishi Halmashauri ya wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu wameamua kujenga nyumba za tope ili kuwawezesha Walimu kuishi jirani na shule.
Wananchi hao wamesema walimu wakiwa karibu na mazingira ya shule wanao uhakikia wa kuwahi hususani vipindi vya asubuhi hivyo kuwawezesha watoto wao kuanza kufundishwa mapema.
"Tumeamua tujenge nyumba ili watoto wetu wapate huduma ya kufundishwa, hatuna nguvu ya kuwajengea nyumba ya block ndio maana tukaamua tujenge nyumba ya tope ili wasogee huku," amesema Loli Machama ambaye ni mwananchi
NyieeView attachment 2712893
HABARI Wananchi wa Kitongoji cha Ihula kilichopo Kata ya Gibishi Halmashauri ya wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu wameamua kujenga nyumba za tope ili kuwawezesha Walimu kuishi jirani na shule.
Wananchi hao wamesema walimu wakiwa karibu na mazingira ya shule wanao uhakikia wa kuwahi hususani vipindi vya asubuhi hivyo kuwawezesha watoto wao kuanza kufundishwa mapema.
"Tumeamua tujenge nyumba ili watoto wetu wapate huduma ya kufundishwa, hatuna nguvu ya kuwajengea nyumba ya block ndio maana tukaamua tujenge nyumba ya tope ili wasogee huku," amesema Loli Machama ambaye ni mwananchi
Utashangaa zitajaaHakuna Mwalimu atahamia hapo!😁.
wananchi kitongoji cha Ihula kilichopo kata ya Gibishi halmashauri ya wilaya ya Bariadi
wananchi haao wamesema walimu wakiwa karibu na mazingiira ya shule wanao uhakika wa kuwahi hasa vipindi vya asubuhi hivyo wanawezesha watoto wao kuanza kufundishwa mapema
"Tumeamua tujengae nyumba ili watoto wetu wapate huduma ya kufundishwa, hatuna nguvu hatuna nguvu ya kuwajengea nyumba ya block ndio maana tukaamua kuwajengea nyumba ya tope ili wasogee huku"amesema Loli Machame ambaye ni mwananchi
#EAST_AFRICA_TV
SahihiTusibeze hili,Angalia nia na wazo lao ni superb.