Hizo taratibu zinafahamika kwa maana kwamba zipo kishetia, kikanuni au ni watu tuwanajiamlia kwa kujiona kuwa wanaweza kufanya chochote kadiri watakavyo?Serikali ina utaratibu wake wa kufanya mambo yake, nadhani hata ukienda ikulu uatajibiwa hivyo.
Serikali kinachofanya ni kutafuta wa kumuangushia jumba bovu, ila majaliwa hana baya loloteViongozi wetu wote ikifika ni muda wa kuongea na wananchi lazima waandaliwe maelezo. Hua hawajipangii tuache kumlaumu PM
Hoja Ina mashiko lakini imeshikiliwa na wakubwa.....Hoja yako ina mashiko, lakini siyo kwa Serikali yetu hii.
Si tushaambiwa yupo ziara za nje ya nchi?Salaam, Shalom!!
Tuliuliza Yu wapi Rais wetu, tukajibiwa, hajambo, anachapa KAZI!!!
Hazikupita siku chache, tunaambiwa, hatunaye.😭😭
Tungejua Yu, mgonjwa ,tungemwombea, baada ya siku kadhaa, tukapokea msiba, tukazika,
Hata miaka mitatu, haijeisha, Mh Mpango naye haonekani!!
MSITUTONESHE, BADO TUNA MAUMIVU!!
TUAMBIWE MH MPANGO YU WAPI, IKIWA NI MGONJWA, TUAMBIWE TUMWOMBEE!!
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Amen.
Hata wakati wa Magu ni waziri mkuu huyu huyu aliyesema rais yuko anachapa kaziMmemkosa kwenye radar zenu, mnataka kumpiga kibomu cha moshi (smoke) nini?, Waziri Mkuu ashasema yupo ngambo kikazi kipi kina ku washa washa?
Sema anayempangia speech waziri mkuu anakosea sana