Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ya kutoonekana kwenye tukio tuliloambiwa yeye ndiye mgeni rasmi, linafikirisha sana.
Kusema kuwa hatunaye, ni neno gumu kulitamka kama hakuna uhakika.
Niamini tu kuwa Mpango ni mgo jwa ila majitu yasiyo na upendo yanatudanganya kuwa ni mzima.
Kama ni mgonjwa, Yesu wa uponyaji uliyewaponya wanadamu kwa neno lako tu moja, basi kwa mapenzi yako, kwaajili ya sisi tukuombao, neno hilo likamwangukie ndugu yetu Filipo Mpango, hata aweze kurejea nyumbani akiwa hai na mwenye afya njema.
Kuumwa pia kuna utaratibu wake wa kutangaza? Maajabu haya.Serikali ina utaratibu wake wa kufanya mambo yake, nadhani hata ukienda ikulu uatajibiwa hivyo.
Mkuu TPaul, yawezekana unajua kitu fulani kinachofichwa kuhusiana na huyu mwamba. Japo kwa "codes" ebu jaribu kufunguka zaidi.Sidhani hata kama wanajali hizi dukuduku za wananchi. Nimesikia habari nzito kuhusu mwamba huyu lakini siwezi kuisema hapa kama ilivyokuwa vigumu kusema ya Magufuli aliyesemekana kufariki lakini serikali ikaja kutoa taarifa baada ya wiki moja hivyo kusogeza mbele tarehe ya kifo chake.
Ngoja pia waendelee kuficha ugonjwa wa Mpango lakini kifo kitawaumbua kama kilipowaumbua kwa Magufuli. Wakati ukuta.
Tatizo mtoa taarifa hiyo haaminikiSi tushaambiwa yupo ziara za nje ya nchi?
Itisha maandamano utasikiwa.Tulimpoteza Magufuli kwa sababu kuumwa hadi kuzidiwa kulifanywa National Bigly Secret ambapo wananchi hatukujulishwa iwapo anaumwa ama amezidiwa zaidi ya kustuliwa na taarifa ya kifo chake mnamo 17 March 2021....
Wakati ukuta. Tusubiri tutangaziwa muda mfupi ujao. Hawawezi kuficha milele."Nimesikia habari nzito kuhusu mwamba huyu lakini siwezi kuisema hapa kama ilivyokuwa vigumu kusema ya Magufuli" - NukuuMkuu TPaul, yawezekana unajua kitu fulani kinachofichwa kuhusiana na huyu mwamba. Japo kwa "codes" ebu jaribu kufunguka zaidi.
Ukisoma "between the lines" katika andiko lako, mbona linatisha!?
Dada wa taifa kamaliza kila kituYuko hai, kwa mujibu wa dada wa taifa.
View attachment 2834901
OopsWakati ukuta. Tusubiri tutangaziwa muda mfupi ujao. Hawawezi kuficha milele.
Wasijibebeshe mzigo bila sababu. Waseme tu hali ilivyo. Kwani kuugua itakuwa yeye ni mtu wa kwanza? Wanavyofanya mambo kwa kificho wanatufanya tusiwaelewe vizuri, au tuanze kuwatilia shaka na kuto waamini.Tulimpoteza Magufuli kwa sababu kuumwa hadi kuzidiwa kulifanywa National Bigly Secret ambapo wananchi hatukujulishwa iwapo anaumwa ama amezidiwa zaidi ya kustuliwa na taarifa ya kifo chake mnamo 17 March 2021...
Sawa kabisa kama kuna tanzia la kitaifa tujulishwe!Tulimpoteza Magufuli kwa sababu kuumwa hadi kuzidiwa kulifanywa National Bigly Secret ambapo wananchi hatukujulishwa iwapo anaumwa ama amezidiwa zaidi ya kustuliwa na taarifa ya kifo chake mnamo 17 March 2021.
Rais ni wa Jamhuri na anamilikiwa na wwnanchi wote bila kujali iyikadi, imani wala kabila. Nasema anamilikiwa ni kwa sababu shughuli zake zote zinamhusu kila raia awe mdogo au mkubwa kwa jinsia zote.
Rais anamilikiwa na wananchi ndo maana analindwa na wananchi na kutunzwa na kodi za wananchi. Ingawa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama wanadhani wao pekee ndo wenye dhamana ya kumtunza na kumlinda Rais. Wananchi watasali kwa miungu yao, watatambika kwa mahoka wao na kadhalika ilimradi Rais aweze kufikia matarajio na matamanio yao. Wenye Mungu nap watamuombea ili awe salama na aweze kutekeleza majukumu yake vyema.
Inaelekea tukio la marehemu JPM halijatupa funzo lolote. Zimeanza tetesi kupitia wale wale walioeneza uvumi kuhusu hatma ya JPM na sasa wanamtaja Makamu wa Rais. Tetesi hizi zimeendelea kupata mwangwi mkubwa kupitia mitandao ya jamii kuhusu afya na uhai wa Makamu wa Rais.
Serikali, imeelekwa kupuuza uvumi huo kama ilivyopuuza enzi Mwendazake anapigania uhai wake vyumba vya afya. Tuliona viongozi wakubwa akiwemo Waziri Mkuu wakitoa matamko ya kubeza tetesi hizo kwa kuuaminisha Umma kwamba Rais wao anachapakazi yupo gado kabisa.
Jana, serikali ilisambaza bango mitandaoni kumuonesha Makamu wa Rais atakuwa mgeni rasmi kwenye Mkutano wa TAWIRI unaoanza tarehe 06 Desemba 2023..... sisi tunaochoshwa na tetesi za vifo vya wakubwa tukanyenua mikono juu kumshukuru Mungu kuwa tetesi kuhusu hali ya Mhe. Mpango ni uzushi na upotofu. Lakini aliyefika mkutanoni ni mwakilishi (Mhe. Kairuki) na siyo mgeni mlengwa.
Tumepatwa na msiba wa kitaifa kule Hanang kwa kuondokewa na ndugu zetu kutokana na mafuriko makubwa. Tumeona mfariji wa Taifa ambaye ni Rais ameshajitokeza na kuaimama na wananchi wale na hata Waziri Mkuu na viongozi wengine wa Serikali wakifanya juu chini ili kuwanasua waliokwama chini ya tope zito la mlima Hanang. Lakini hatujamsikia popote Makamu wetu wa Rais akitoa pole kama ilivyo kawaida yake kwa matukio aina hii.
Kwa niaba ya Watanzania, naleta ombi kwa serikali ituondoe kizani kuhusu alipo makamu wa Rais. Hizi tetesi zinazoendelea hazina afya kwa Taifa.
Endapo kweli hatunaye na hatukutangaziwa kuumwa kwake ni wazi hatutazuiwa kuwaza kwamba serikalini kuna hila nyingi dhidi ya viongozi wa Kitaifa na hakika tutaamini kwamba vyombo vyetu vya ulinzi na usalama pamoja na mamlaka zingine zina muunganiko usio na afya kwa Taifa letu.
Naomba tujulishwe
Hili jibu linatosha.Serikali ina utaratibu wake wa kufanya mambo yake, nadhani hata ukienda ikulu uatajibiwa hivyo.
Kazi gani zenye usiri namna hiyo?!Mmemkosa kwenye radar zenu, mnataka kumpiga kibomu cha moshi (smoke) nini?, Waziri Mkuu ashasema yupo ngambo kikazi kipi kina ku washa washa?
Nje ipi huko ambapo hata picha hakuna?Si tushaambiwa yupo ziara za nje ya nchi?
Acha Ujinga,Kiherehere, kimbelembele, kuwashwawashwa, umalaya malaya wa kisiasa, tabia mbaya sana,
Uliambiwa yupo kwenye majukum, ni swala la utulivu tu, wasije kuja na habari zingine full stop,Tulimpoteza Magufuli kwa sababu kuumwa hadi kuzidiwa kulifanywa National Bigly Secret ambapo wananchi hatukujulishwa iwapo anaumwa ama amezidiwa zaidi ya kustuliwa na taarifa ya kifo chake mnamo 17 March 2021.
Rais ni wa Jamhuri na anamilikiwa na wwnanchi wote bila kujali iyikadi, imani wala kabila. Nasema anamilikiwa ni kwa sababu shughuli zake zote zinamhusu kila raia awe mdogo au mkubwa kwa jinsia zote.
Rais anamilikiwa na wananchi ndo maana analindwa na wananchi na kutunzwa na kodi za wananchi. Ingawa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama wanadhani wao pekee ndo wenye dhamana ya kumtunza na kumlinda Rais. Wananchi watasali kwa miungu yao, watatambika kwa mahoka wao na kadhalika ilimradi Rais aweze kufikia matarajio na matamanio yao. Wenye Mungu nap watamuombea ili awe salama na aweze kutekeleza majukumu yake vyema.
Inaelekea tukio la marehemu JPM halijatupa funzo lolote. Zimeanza tetesi kupitia wale wale walioeneza uvumi kuhusu hatma ya JPM na sasa wanamtaja Makamu wa Rais. Tetesi hizi zimeendelea kupata mwangwi mkubwa kupitia mitandao ya jamii kuhusu afya na uhai wa Makamu wa Rais.
Serikali, imeelekwa kupuuza uvumi huo kama ilivyopuuza enzi Mwendazake anapigania uhai wake vyumba vya afya. Tuliona viongozi wakubwa akiwemo Waziri Mkuu wakitoa matamko ya kubeza tetesi hizo kwa kuuaminisha Umma kwamba Rais wao anachapakazi yupo gado kabisa.
Jana, serikali ilisambaza bango mitandaoni kumuonesha Makamu wa Rais atakuwa mgeni rasmi kwenye Mkutano wa TAWIRI unaoanza tarehe 06 Desemba 2023..... sisi tunaochoshwa na tetesi za vifo vya wakubwa tukanyenua mikono juu kumshukuru Mungu kuwa tetesi kuhusu hali ya Mhe. Mpango ni uzushi na upotofu. Lakini aliyefika mkutanoni ni mwakilishi (Mhe. Kairuki) na siyo mgeni mlengwa.
Tumepatwa na msiba wa kitaifa kule Hanang kwa kuondokewa na ndugu zetu kutokana na mafuriko makubwa. Tumeona mfariji wa Taifa ambaye ni Rais ameshajitokeza na kuaimama na wananchi wale na hata Waziri Mkuu na viongozi wengine wa Serikali wakifanya juu chini ili kuwanasua waliokwama chini ya tope zito la mlima Hanang. Lakini hatujamsikia popote Makamu wetu wa Rais akitoa pole kama ilivyo kawaida yake kwa matukio aina hii.
Kwa niaba ya Watanzania, naleta ombi kwa serikali ituondoe kizani kuhusu alipo makamu wa Rais. Hizi tetesi zinazoendelea hazina afya kwa Taifa.
Endapo kweli hatunaye na hatukutangaziwa kuumwa kwake ni wazi hatutazuiwa kuwaza kwamba serikalini kuna hila nyingi dhidi ya viongozi wa Kitaifa na hakika tutaamini kwamba vyombo vyetu vya ulinzi na usalama pamoja na mamlaka zingine zina muunganiko usio na afya kwa Taifa letu.
Naomba tujulishwe