Wananchi tuna haki kufahamu alipo Makamu wa Rais Philip Mpango

Ukishakuwa kuwa kiongozi wa Umma, mambo yako mengi ni lazima yajulikane kwa Umma.
Kama hamtaki, ondokeni kwenye ofisi za Umma muone kama tutataka kujua chochote juu yenu.
 
Aisee,watu wana Roho ngumu sana.
 
Akili za mleta mada ni ugoro kabisa. Awe Hai au amekufa ni nini?
Kwa hiyo serikali ikisema alipo kama ni wa kufa ndio hatakufaaa.
Upuuzi wa kiwango cha Gambosh huu.
 
Mtu akiwa haonekani tu, zinaanza kusambazwa taarifa zisizo na maana.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Kwa nini asionekane kama yupo.Haya ndiyo matokeo ya kukaa kwao kimya,they should be ready for it.Kwa Magufuli walikaa kimya,kilichotokea unakijua,sasa kwa nini tusiamini kwamba kilichotokea kwa Magufuli kitatokea kwa Mpango?It is commonsense.Ukiumwa na Nyoka hata ukiona unyasi unastuka.Mpango hayupo salama.
 
Akili za mleta mada ni ugoro kabisa. Awe Hai au amekufa ni nini?
Kwa hiyo serikali ikisema alipo kama ni wa kufa ndio hatakufaaa.
Upuuzi wa kiwango cha Gambosh huu.
Aisee,uliyoandika hapa ni utopolo kabisa,and only proves that Mpango is dead.And we know why they hate him:ni threat kwa kambi ya "Wahuni." Hawataki kuwa na the types of Magufuli again, ambao watazuia upigaji wao na uovu wao mwingine.
 
Hii ni kwa afrika tu kufichwa taarifa muhimu juu ya afya ya kiongozi wao kufichwa, ulaya na amerika hakuna mambo hayo utasikia he/she has hospitalized hata kama kama kapata mafua tu utajulishwa yuko kwenye bed rest anapatiwa matibabu
 
CCM wanajifanya wanamiliki hadi afya za watu wengine
 
Hata wewe ungekuwa uko serekaliNi sizadhni kma ungetangaza habr za kuumwa kwake kuumwa siyo Jambo la kutangaziwa watu

Mm Niko upande wa serekali kwenye hili Jambo ni kweli Ni kiongozi wetu ila sioni sababh ya kuuzua taaruki Kama kafa itajulikana tu Kama Yuko hai atajulikana tu hakuna kitaba imefunjwa hapo
 
Akili za mleta mada ni ugoro kabisa. Awe Hai au amekufa ni nini?
Kwa hiyo serikali ikisema alipo kama ni wa kufa ndio hatakufaaa.
Upuuzi wa kiwango cha Gambosh huu.
Mie ndo binadamu wa kwanza kuwa na akili za ugoro mkuu.
Je inakuumiza popote?πŸ˜€
 
Kama hautaki kutangazwa basi zisitumike pesa zetu kukutibu.
tunaweza kutangaziwa kwamba anaumwa na si lazima waseme ugonjwa gani.

Nahisi sehemu kubwa ya waliomo serikalini ni zombiez kuliko sisi raiaπŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…