Wananchi tunamsaidiaje Mpina?
Dada yangu Mh Tulia kwa heshima kubwa nakuomba ulinde masilahi ya nchi japo hata kwa hili moja utakumbukwa na vizazi kwa mema km Mpina kasema yaliyo kweli huyo bashe dili nae kibabe kulinda heshima yako na Bunge letu.
 
Yani viongozi wa hii nchi niwa hovyo sana yani tayari weshahukumj kuwa mpina ana makosa!!!! Badala waunde kamati wachunguze lisemwalo, yani viongozi wa tz hawataki kabisa watu wakweli sasa sijui tunatengeneza kizazi cha namna gani hapa yani ni uwongo uwongo na ujanja ujanja!!!!
 
Bila ya kujali itikadi, sote wananchi tuungane ktk uzi huu kulaani kwa kauli moja uonevu wa spika dhidi ya Mpina...
Hakuna cha uonezi hapo. Alitaka tuendelee kununua sukari kwa shs 6000 plus? Anatumika tu kuwatetea wamiliki wa viwanda vya sukari waliogoma kuagiza sukari ya kuziba gap.
 
Kwasababu tumeamua kukaa kimya kama wajinga, sasa wapuuzi wameamua kututawala hovyo bila aibu, inashangaza sana bunge linalojainasibu ni muwakilishi wa wananchi kumuadhibu mbunge aliyeanza kutoa taarifa kwa wananchi juu ya ufisadi wa kutisha wizara ya kilimo...
Hofu yangu ni kuwa kama ile agenda ya DPW ilipita, sidhani kama ile kamati iliyoundwa na spika itakuja na jipya. Maana kwenye hotuba yake spika ni kama amemhukumu moja kwa moja Mpina kama mkosaji. Ila ameamua kuunda kamati kama geresha tu.
 
Bila ya kujali itikadi, sote wananchi tuungane katika uzi huu kulaani kwa kauli moja uonevu wa spika dhidi ya Mpina.

Shime watanzania kila mtu aandike katika uzi huu maneno yafuatayo:
"NASIMAMA NA MPINA",

Hii itasaidia kumtia moyo Mpina na kumshinikiza spika Tulia kuachana na njama zake za kumnyamazisha.

NB: Huu siyo uzi wa kupiga stori, andika hayo maneno matatu tu. Comment ya kwanza nimeonesha mfano.

PIA SOMA
- Spika Tulia amburuza Luhanga Mpina Kamati ya maadili

- Luhanga Mpina apewa siku 10 na Spika kuleta ushahidi wa Bashe kulidanganya Bunge

- Luhaga Mpina: Usambazaji wa sukari haukuwa ukifanywa na mfanyabiashara mmoja wa Mwanza pekee, Waziri Bashe alidanganya

- Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia
Mkuu huyo Mpina akienda front seat utamsahau .
 
Unasimama na shetani aliyechoma nyavu za wavuvi wa nchi hii na kuwatia umaskini? Mnaomsapoti Mpina hamna tofauti na vijana wapumbavu wa Liberia waliomchagua dikteta Charles Taylor aliyeua wazazi wao. Wakati wa kampeni walikuwa na msemo wao wa "He killed My Ma, He killed my Pa.... I'll Vote for him"

Mpina alikuwa ni miongoni mwa viongozi makatili wa awamu ya 5 waliofanya ushenzi mwingi sana kwa wananchi wasio na hatia. Hana political legitimacy ya kunyooshea mtu kidole.
Hata saa mbovu kuna wakati inakuwa sahihi.
 
Back
Top Bottom