Wananchi tuwe makini tunapochagua viongozi. Huyu anayejipiga picha na taulo naye alikuwa Diwani?

Wananchi tuwe makini tunapochagua viongozi. Huyu anayejipiga picha na taulo naye alikuwa Diwani?

..huyu je?

1672150980256.jpeg
 
Tuchague watu wenye maadili mema katika jamii. Huyu mtu anautafuta uzee lakini anafanya mambo ya mtoto wa darasa la 3. Vipi alipokuwa chini ya umri wa sasa akili yake ilikuwaje?

Huyu jamaa aliwahi kuwa Diwani wa kata ya Mwanga Kaskazini mkoani Kigoma. Najiuliza, wananchi waliona nini cha kiuongozi toka kwa mtovu huyu wa maadili?

Kwa utovu huu wa maadili ni dhahiri kwamba huyu mtu hakustahilli hata chembe kuwa kiongozi.

View attachment 2459923
[emoji23][emoji23] Ukisikia shida haina adabu ndio kama hivi ,[emoji23][emoji23]
 
Tuchague watu wenye maadili mema katika jamii. Huyu mtu anautafuta uzee lakini anafanya mambo ya mtoto wa darasa la 3. Vipi alipokuwa chini ya umri wa sasa akili yake ilikuwaje?

Huyu jamaa aliwahi kuwa Diwani wa kata ya Mwanga Kaskazini mkoani Kigoma. Najiuliza, wananchi waliona nini cha kiuongozi toka kwa mtovu huyu wa maadili?

Kwa utovu huu wa maadili ni dhahiri kwamba huyu mtu hakustahilli hata chembe kuwa kiongozi.

View attachment 2459923
Huyu ni pumbafu sana, so stupid
 
Unaijua sababu ya jiwe kumuua Ben Sa8? Jiwe ataunguzwa mpk majivu yake huko jehanamu
In reality, hujui hata unaongea kuhusu nin!.

Then you can't even prove this nonsense you wrote.
 
In reality, hujui hata unaongea kuhusu nin!.

Then you can't even prove this nonsense you wrote.
Jiwe muuaji. Hutaki?
Alimuua Ben Sa8, Azory Gwanda, Lwajabe, na watu kibao ambao maiti zao zilipatikana kwenye viroba ufukweni.

Aliwateka akina Mo, Roma, Nay wa Mitego, Tito Magoti, n.k

Alipora fedha za wafanyabiashara kibao.

Huyu jiwe hata jivu lake litaungua huko jehanamu
 
Back
Top Bottom