Wananchi wa Arusha mlichofanya kwa RC ni dharau kubwa kwa mamlaka za uteuzi; acheni mgomo fungueni mioyo


View: https://www.youtube.com/live/VXTPjuOMofk?si=8Cu7jXfTxNFEaJmd
Aisee Arusha Hawataki Shobo.

Somo amelipata Day 1
 
Nyie si wadudujiandaeni kuuliwa kwa kupuliziwa dawa maalumu.

Mkandaji wenu yupo hapo chuga
Makonda ni mshamba Wala hawezi hapa amefika.... Kama hatujampeleka mto nduruma akaogelee ohooo.. achana na wadudu asee jombii.
 
Makonda ni mshamba Wala hawezi hapa amefika.... Kama hatujampeleka mto nduruma akaogelee ohooo.. achana na wadudu asee jombii.
Mmemnyosha aises watu kiduchu hivyo?
 
Sasa mbona hskupits Matejoo na kambi ya fisi, huyo Makonda haijui Arusha kabisa kabisaa 🤣
 
Jf itajaa nyuzi za uongo kuhusu makonda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…