Wananchi wa darasa la saba ndo wanaonekana wako na akili kuzidi hawa wenye degree, nini tatizo?

Wananchi wa darasa la saba ndo wanaonekana wako na akili kuzidi hawa wenye degree, nini tatizo?

Hemedy Jr Junior

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2023
Posts
915
Reaction score
1,082
Naomba kufahamu au ndio kauli ya Kishimba (Wasomi wengi wanajua kusoma na kuandika ila hawako na Maarifa)

Mwananchi wa darasa la saba yupo kijijini analima mpunga, mahindi na kufuga ng"ombe na maisha yanaenda.
Huyu mwenye degree yupo anaishi Masaki kila siku anapiga simu home bado natafuta ajira.

Hivi kipi bora kuwa na watoto wajinga familia ikaepuka umaskini wa kipato au kuwa na watoto wenye akili familia ikawa maskini wa kipato? Naomba jibu kama , elimu ya kitanzania itaendelea kuwa hivi kumwandaa msomi kwamba akimaliza atapata ajira na akimaliza anaanza kuangaika kutafuta ajira.

USHAURI.

VYUO VISISAJIRI KAMA HAVINA UHAKIKA WA AJIRA📌🙏
 
Naomba kufahamu au ndo kauli ya kishimba (Wasomi wengi wanajua kusoma na kuandika ila hawako na Maarifa)

Mwananchi wa darasa la saba yupo kijijini analima mpunga,mahindi na kufuga ng"ombe na maisha yanaenda.
Huyu mwenye degree yupo anaishi masaki kila siku anapiga simu home bado natafuta ajira.

Hivi kipi bora kuwa na watoto wajinga familia ikaepuka umaskini wa kipato au kuwa na watoto wenye akili familia ikawa maskini wa kipato? Naomba jibu kama , elimu ya kitanzania itaendelea kuwa hivi kumwandaa msomi kwamba akimaliza atapata ajira na akimaliza anaanza kuangaika kutafuta ajira.

USHAURI.

VYUO VISISAJIRI KAMA HAVINA UHAKIKA WA AJIRA📌🙏
Hao umewaona wapi labda walioamua kuhamishia akili zao tumboni badala ya kichwani 🤸
 
Uzuri wasomi hao ndiyo wanatengeneza mbegu, mbolea, wananunua mazao ya wakulima na kuyasindika.

Kikubwa ni kutambua msomi siyo rafiki wa darasa la saba, siku ajira ikitiki itabaki kuwa story tu.
 
Uzuri wasomi hao ndiyo wanatengeneza mbegu, mbolea, wananunua mazao ya wakulima na kuyasindika.

Kikubwa ni kutambua msomi siyo rafiki wa darasa la saba, siku ajira ikitiki itabaki kuwa story tu.
Utegemezi ni kutegemea ajira....
 
Naomba kufahamu au ndo kauli ya kishimba (Wasomi wengi wanajua kusoma na kuandika ila hawako na Maarifa)

Mwananchi wa darasa la saba yupo kijijini analima mpunga,mahindi na kufuga ng"ombe na maisha yanaenda.
Huyu mwenye degree yupo anaishi masaki kila siku anapiga simu home bado natafuta ajira.

Hivi kipi bora kuwa na watoto wajinga familia ikaepuka umaskini wa kipato au kuwa na watoto wenye akili familia ikawa maskini wa kipato? Naomba jibu kama , elimu ya kitanzania itaendelea kuwa hivi kumwandaa msomi kwamba akimaliza atapata ajira na akimaliza anaanza kuangaika kutafuta ajira.

USHAURI.

VYUO VISISAJIRI KAMA HAVINA UHAKIKA WA AJIRA📌🙏
Watu ambao hawajasoma huwa wanaujinga mwingi sana wa akili.
Wanaamini mtu aliyesoma lazima awe na kazi, maisha mazuri na hela. Ukimaliza chuo tayari wewe una kazi.
Mtu ambaye hajasoma akifuga mifugo yake kama mtoa uzi tayari anaanza kujihami kama mtoa uzi.
 
Watu ambao hawajasoma huwa wanaujinga mwingi sana wa akili.
Wanaamini mtu aliyesoma lazima awe na kazi, maisha mazuri na hela. Ukimaliza chuo tayari wewe una kazi.
Mtu ambaye hajasoma akifuga mifugo yake kama mtoa uzi tayari anaanza kujihami kama mtoa uzi.
Swali dogo nikuulize, baba ako aliyekusomesha yeye alikuwa mjinga au alikuwa na akili. We unaweza kusoma ukajua kusoma na kuandika ila maarifa zero.
 
Swali dogo nikuulize, baba ako aliyekusomesha yeye alikuwa mjinga au alikuwa na akili. We unaweza kusoma ukajua kusoma na kuandika ila maarifa zero.
Watu ambao hawajasoma huwa wana ujinga mwingi sana kwenye akili zao.
Wala sikushangai. Nafanya kazi na watu ambao hawajasoma ndiyo matatizo yao.
Maarifa ni kitu kipana sana. Umeweza kufuga ng'ombe. Je' unaweza kutengeneza website?
Mtu ambaye hajasoma akijua kufuga ng'ombe basi hujiona ana maarifa sana kuliko msomi wakati hizi ni elimu au maarifa ambayo yana uwanda mpana.
Pole sana
 
Watu ambao hawajasoma huwa wana ujinga mwingi sana kwenye akili zao.
Wala sikushangai. Nafanya kazi na watu ambao hawajasoma ndiyo matatizo yao.
Maarifa ni kitu kipana sana. Umeweza kufuga ng'ombe. Je' unaweza kutengeneza website?
Sio kila mtu atengeneze website.
 
Watu ambao hawajasoma huwa wana ujinga mwingi sana kwenye akili zao.
Wala sikushangai. Nafanya kazi na watu ambao hawajasoma ndiyo matatizo yao.
Maarifa ni kitu kipana sana. Umeweza kufuga ng'ombe. Je' unaweza kutengeneza website?
Mtu ambaye hajasoma akijua kufuga ng'ombe basi hujiona ana maarifa sana kuliko msomi wakati hizi ni elimu au maarifa ambayo yana uwanda mpana.
Pole sana
Umejiajiri au umeajiriwa?
 
Sio kila mtu atengeneze website.
Siyo kila mtu afuge ng'ombe. Maarifa yana uwanda mpana sana.
Shida yenu nyie watu ambao hamjasoma hufikiri elimu ndiyo maisha mazuri, una akili nyingi sana, unapesa nyingi na unajua kila kitu.
Utasikia ningesoma ningekuwa na maisha mazuri.
Ukikutana watu ambao hawajasoma wakibeba zege, uliona madaftari mazito? Komaa
Siku zote mtu ambaye hajasoma huwa anamuonea wivu, anachuki na kujilinganisha na mtu aliyesoma
Akiweza kununua hata gari ataanza kusema, sijasoma lakini nimeajiri wasomi. Mbona msomi akiajiri watu atakuwaambia nimetoa ajira kwa watu lkn hawezi kujilinganisha.
 
Siyo kila mtu afuge ng'ombe. Maarifa yana uwanda mpana sana.
Shida yenu nyie watu ambao hamjasoma hufikiri elimu ndiyo maisha mazuri, una akili nyingi sana, unapesa nyingi na unajua kila kitu.
Utasikia ningesoma ningekuwa na maisha mazuri.
Ukikutana watu ambao hawajasoma wakibeba zege, uliona madaftari mazito? Komaa
Siku zote mtu ambaye hajasoma huwa anamuonea wivu, anachuki na kujilinganisha na mtu aliyesoma
Akiweza kununua hata gari ataanza kusema, sijasoma lakini nimeajiri wasomi. Mbona msomi akiajiri watu atakuwaambia nimetoa ajira kwa watu lkn hawezi kujilinganisha.
unachoulizwa sicho unachojibu ... uko na matatizo gani. Tajiri aliyeajiriwa? Elimu yako imekufikisha wapi?
 
Elimu inatulisha ujuzi lakini pia inatulisha ujinga wa kugoma kuanza chini. Hapo ndipo tunapofeli degree holders. Elimu ya chuo inatufundisha kwamba we worth a lot more than kuwa mkulima, more than kutembeza juice ukaingiza 30k a day, Yan imetulisha ujinga ambao ni mgumu kuutoa kichwani. Ni ujinga unaotuambia mm sistahili kufanya kazi ndogo km Ile. Watu watanionaje na kadhalika. In the end ndo tunakuwa maskini zaidi na zaidi.
 
Ndiyo shida yenu ya watu ambao hamjasoma.
Wasomi hawaulizi haya maswali kwasababu ni maswali binafsi ya mtu.
Ukijua itakusaidia?
😁 acha kukaza fuvu. Acha kutumikishwa we mtumwa tu . Elimu yako sioni faida yake hapo unapata elimu ili ujikomboe . Afu ona ulivokuwa na upungufu wa akili unataget et nyie msio kuwa na elimu unajua watu wenye elimu wewe 😁😁😁😁 ngoja nikucheke kwanza
 
unachoulizwa sicho unachojibu ... uko na matatizo gani. Tajiri aliyeajiriwa? Elimu yako imekufikisha wapi?
Sikushangai kwasababu ndiyo maswali ya kujilinda ya watu ambao hawajasoma.
Anatafuta sababu ili aondoe ule ulinganifu wa kushindwa kusoma au kusomeshwa.
Unatafuta faraja ya nafsi
 
Elimu inatulisha ujuzi lakini pia inatulisha ujinga wa kugoma kuanza chini. Hapo ndipo tunapofeli degree holders. Elimu ya chuo inatufundisha kwamba we worth a lot more than kuwa mkulima, more than kutembeza juice ukaingiza 30k a day, Yan imetulisha ujinga ambao ni mgumu kuutoa kichwani. Ni ujinga unaotuambia mm sistahili kufanya kazi ndogo km Ile. Watu watanionaje na kadhalika. In the end ndo tunakuwa maskini zaidi na zaidi.
waooh. Mashaallha allha akubariki naona waelewa wanacoment fact.🙏
 
Sikushangai kwasababu ndiyo maswali ya kujilinda ya watu ambao hawajasoma.
Anatafuta sababu ili aondoe ule ulinganifu wa kushindwa kusoma au kusomeshwa.
Unatafuta faraja ya nafsi
Piga kazi kibarua kisije kikaota nyasi kijana... elimu huna akili huna maarifa huna we unanini😁😁😁
 
Back
Top Bottom