Wananchi wa darasa la saba ndo wanaonekana wako na akili kuzidi hawa wenye degree, nini tatizo?

Wananchi wa darasa la saba ndo wanaonekana wako na akili kuzidi hawa wenye degree, nini tatizo?

Elimu inatulisha ujuzi lakini pia inatulisha ujinga wa kugoma kuanza chini. Hapo ndipo tunapofeli degree holders. Elimu ya chuo inatufundisha kwamba we worth a lot more than kuwa mkulima, more than kutembeza juice ukaingiza 30k a day, Yan imetulisha ujinga ambao ni mgumu kuutoa kichwani. Ni ujinga unaotuambia mm sistahili kufanya kazi ndogo km Ile. Watu watanionaje na kadhalika. In the end ndo tunakuwa maskini zaidi na zaidi.
Kwani watu ambao hawajasoma wapo kijiji, wamekuwa matajiri?
 
Hao watu wasiozidi wawili ndiyo kielelezo cha jamii nzima ya watu walioishia la saba?
 
Elimu inatulisha ujuzi lakini pia inatulisha ujinga wa kugoma kuanza chini. Hapo ndipo tunapofeli degree holders. Elimu ya chuo inatufundisha kwamba we worth a lot more than kuwa mkulima, more than kutembeza juice ukaingiza 30k a day, Yan imetulisha ujinga ambao ni mgumu kuutoa kichwani. Ni ujinga unaotuambia mm sistahili kufanya kazi ndogo km Ile. Watu watanionaje na kadhalika. In the end ndo tunakuwa maskini zaidi na zaidi.
Fact kabisa.
 
Piga kazi kibarua kisije kikaota nyasi kijana... elimu huna akili huna maarifa huna we unanini😁😁😁
Kwahiyo sheria, katiba, wanaondesha ndege, huu mtandao unaotumia JF, wanaotengeza software, simu unayotumia, madawa ya ng'ombe wako n.k waliofanya yote haya ni watu ambao wameishia darasa la 7?
Kweli darasa 7 wanaakili sana.
Hongera mkuu
 
Kwahiyo sheria, katiba, wanaondesha ndege, huu mtandao unaotumia JF, wanaotengeza software, simu unayotumia, madawa ya ng'ombe wako n.k waliofanya yote haya ni watu ambao wameishia darasa la 7?
Kweli darasa 7 wanaakili sana.
Hongera mkuu
We hapo umetengeneza nini. Na ujaishia darasa la saba. Unaedit comment 😁😁😁
 
We hapo umetengeneza nini. Na ujaishia darasa la saba. Unaedit comment 😁😁😁
Hapa unatafuta faraja ya moyo wako. Utasikia huyo amesoma ana nini? Bora mimi niliyeishia darasa la 7.
📝📷🎶🎶🎶📺🎤🎵🎧
 
Back
Top Bottom