Kwa hiyo barabara ni personal na siyo public? Sawa
Bandari ni national interest na sio personal
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bandari ni national interest na sio personal
Za mtaani kwakoKwa hiyo barabara ni personal na siyo public? Sawa
Hakika...
Hivi majuzi nilistaajabu wakaxi wa Kijiji kimoja , chenye wakulima wakubwa nawafanya Biashara wakilalamika mbele ya Mkuu wa Mkoa, kuwa Choo Cha Shule ya Sekondari pale Kijijini kinavuja!Waswahili huwa hamna tabia ya kujenga nchi wenyewe bali kila kitu mnasubiri Serikali. Hawa wa Goba wameona miradi haiendi au wamesubiri sana na labda hela zimeishapigwa.
Hongera kwao hata mimi kuna siku niliona Mashimo mbele ya nyumba na halmashauri hawana Habari
Niliyafukia kwa hela zangu.
Kuna wakati kujitolea kwa faida ya wengi ni vizuri wala sio kosa kisa tu eti ni kazi ya serikali. Kwa hiyo mpaka watu wafe?
Tena mjufunze kuwa na Charities nyingi. Kuna nchi matajiri lakini wana Charities tunazochangia kwa kupata maendeleo au hata utafiti wa madawa
Big up kwao
Mkuu acha utani basiHivi majuzi nilistaajabu wakaxi wa Kijiji kimoja , chenye wakulima wakubwa nawafanya Biashara wakilalamika mbele ya Mkuu wa Mkoa, kuwa Choo Cha Shule ya Sekondari pale Kijijini kinavuja!
Choo kinatapika! Kweli mkuu kwetu Karagwe tulikutaha na Kiswahili darasa la kwanza... You can imagine!Mkuu acha utani basi
Au kimetapika?
Kijijini unajua kiswahili kilienda baadae sana
Unakutana na mtu anakuambia atakuja JANA