Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,558
- 12,335
CCM wanasavaivi kwa nguvu ya dola tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulaya ipi hiyo unayoizungumzia?Gari yako ikikata springi hasara kwako au ya serikali.
Hata ulaya vingi wanafanya wananchi wenyewe.
Miaka 60 wameshindwa, wanataka tufanyeje?
Hii ni picha ya bango la mradi wa ujenzi na ukarabati wa kilomita mbili (2) Goba kwa Awadhi ambayo imesambaa kwa kwenye mitandao ya kijamii.
Mradi huu ni wa ukarabati na ujenzi wa mitaro ambapo unatokana na nguvu za wakazi wa eneo hilo.
Inaelezwa wakazi hao wamekubaliana kujenga mitaro kwa kutumia zege na makadirio ya bajeti ni Shilingi milioni 40 kutoka kwa wakazi 95 ambao wameahidi kuchangia. Hadi sasa, zaidi ya Shilingi milioni 16 zimekusanywa, na ujenzi umeshaanza.
Sema tofauti na mabango mengine ambayo mara nyingi yamekuwa na ujumbe uliozoeleka kwamba UKIMWI unaua, bango hili limehitimishwa na ujumbe wa “Tuchange wote kujenga barabara yetu”.
Pia inasemekana kuwa mjadala huo umewaibua viongozi wa mtaa ambao waliwashawishi wananchi kuliondoa bango hili bila mafaniko. Wananchi wanasema kuwa endapo watalitoa, basi viongozi waitishe mkutano kuelezea barabara hiyo itatengenezwa lini.
Uamuzi wa wananchi wa Goba wa kujikomboa kwa kujenga barabara yao wenyewe ni ishara ya ujasiri na kujitolea katika kuleta mabadiliko katika jamii yao. Hii ni hatua ya kipekee ambayo inaonyesha nguvu ya umoja na dhamira ya kuboresha maeneo yetu.
Je, mtaani kwenu mnachukua hatua gani kama barabara inazingua?
Anazungumzia Ulaya ya Kishumundu, hawa ni wale wafia chama.Ulaya ipi hiyo unayoizungumzia?
UnayoijuaUlaya ipi hiyo unayoizungumzia?
Kuna njia tofauti tofauti za kufikisha ujumbe. Wao wameamua kutumia hii ya kuchangisha pesa na kujitengenezea wenyewe.Ni upumbavu kuchanga pesa wakati Serikali imekopa pesa kwa ajili hiyo hiyo.
Ujanja ni kusimama kidete na kuhoji pesa zilizotolewa na WB Kwa ajili ya kujenga miundombinu ya nini la Dar?
Masaki yenyewe sehemu za barabara ni mbayaMbezi beach,mikocheni Pana matajiri hata milioni milioni wanatoa lakini wapo radhi kukanyaga madimbwi wakiliwa mbu pia eti wanasubiri serikali.
hujaleta pictureMbona huku mbande wananchi tumejichanga tumejenga flyover hamkuposti?
Wkimaliza wamuite Mkuu wa Wilaya, Diwani, ,Mbunge wao na Waziri wa Ujenzi waje kuzindua.
Kosa la wananchi wenyeweMasaki yenyewe sehemu za barabara ni mbaya
Ova
Kabisa!Ni kweli ukisubiri sere kale utaishia kuserereka
Kama unavyojua serekale ya Nji hii...
Si kila jambo lazima utumie nguvu, apa akili itatoa mwongozoNi upumbavu kuchanga pesa wakati Serikali imekopa pesa kwa ajili hiyo hiyo.
Ujanja ni kusimama kidete na kuhoji pesa zilizotolewa na WB Kwa ajili ya kujenga miundombinu ya nini la Dar?
Hizo pesa wanazokopa wanatumia kununua mabomu ya machozi na magari ya washawasha ili mkisimama kidete kuhoji wawaoneshe cha mtema kuni.Ni upumbavu kuchanga pesa wakati Serikali imekopa pesa kwa ajili hiyo hiyo.
Ujanja ni kusimama kidete na kuhoji pesa zilizotolewa na WB Kwa ajili ya kujenga miundombinu ya nini la Dar?
Bango limeondolewa leo baada ya DC kutembelea eneo la mradi wa wananchi.
Hii ni picha ya bango la mradi wa ujenzi na ukarabati wa kilomita mbili (2) Goba kwa Awadhi ambayo imesambaa kwa kwenye mitandao ya kijamii.
Mradi huu ni wa ukarabati na ujenzi wa mitaro ambapo unatokana na nguvu za wakazi wa eneo hilo.
Inaelezwa wakazi hao wamekubaliana kujenga mitaro kwa kutumia zege na makadirio ya bajeti ni Shilingi milioni 40 kutoka kwa wakazi 95 ambao wameahidi kuchangia. Hadi sasa, zaidi ya Shilingi milioni 16 zimekusanywa, na ujenzi umeshaanza.
Sema tofauti na mabango mengine ambayo mara nyingi yamekuwa na ujumbe uliozoeleka kwamba UKIMWI unaua, bango hili limehitimishwa na ujumbe wa “Tuchange wote kujenga barabara yetu”.
Pia inasemekana kuwa mjadala huo umewaibua viongozi wa mtaa ambao waliwashawishi wananchi kuliondoa bango hili bila mafaniko. Wananchi wanasema kuwa endapo watalitoa, basi viongozi waitishe mkutano kuelezea barabara hiyo itatengenezwa lini.
Uamuzi wa wananchi wa Goba wa kujikomboa kwa kujenga barabara yao wenyewe ni ishara ya ujasiri na kujitolea katika kuleta mabadiliko katika jamii yao. Hii ni hatua ya kipekee ambayo inaonyesha nguvu ya umoja na dhamira ya kuboresha maeneo yetu.
Je, mtaani kwenu mnachukua hatua gani kama barabara inazingua?
Nchi ina laana hii, viongozi hawajali kuhusu taifa. Ni wabinafsi.Mfano tu benki ya dunia wametoa hela ya kutengeneza barabara huko mitaani ila mpaka sasa serikali wamezikalia tu
Ova
Bandari ni national interest na sio personal