Wananchi wa Goba wakarabati barabara wenyewe, Serikali za Mtaa washawishi bango litolewe

Hivi majuzi nilistaajabu wakaxi wa Kijiji kimoja , chenye wakulima wakubwa nawafanya Biashara wakilalamika mbele ya Mkuu wa Mkoa, kuwa Choo Cha Shule ya Sekondari pale Kijijini kinavuja!
 
Hivi majuzi nilistaajabu wakaxi wa Kijiji kimoja , chenye wakulima wakubwa nawafanya Biashara wakilalamika mbele ya Mkuu wa Mkoa, kuwa Choo Cha Shule ya Sekondari pale Kijijini kinavuja!
Mkuu acha utani basi
Au kimetapika?
Kijijini unajua kiswahili kilienda baadae sana
Unakutana na mtu anakuambia atakuja JANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…