Wananchi wa kata ya Bwawani Arusha waandamana kulazimisha TAKUKURU wamwachie Mtendaji Kata aliyewekwa Ndani na Makonda; wadai RC hasikilizi wananchi

Hivi, nini maana ya neno " KUKURUPUKA"?
 
Wametumwa na Chatanda a.k.a Singo Maza
 
Hakika kabisa, mambo kadhaa yalinisaidia:

Kwanza nilikuwa na ki-status fulani pale, hivyo umakini ulihitajika kudili nami.

Pili wale green mamba hawakuwa wamejiconnect vyema na hao polisi. Yule OCCID hawakuweza kumwingia na hakutaka kuvuruga CV yake (angekuwa tumbo-oriented kama polisi kata nadhani ningesota kidogo). Kwakuwa ilikuwa enzi za mwendazake, waliamini sana kuwa wao kwakuwa tu ni wa kijani tena kutoka makao makuu madogo ya nchi kwa awamu hiyo basi ni alpha na omega, wangeweza kuamua chochote na dola ikatii, wakafanya kizembe.

Zaidi hawakuwa na ushirikiano na familia ya kibinti kile walichotaka kukitumia, familia ya mchungaji tena mwenyekiti wa CDM. Kwahiyo kupanga dili la kihuni na mpinzani wao ikawa shida wakabaki kuunda mchongo dhaifu gizani.
 
Tatizo la Arusha wahuni walishaipiga copy serikali sasa Makonda anawapiga spana hadi watanyooka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…